Tutakukumbuka muheshimiwa Zito na kamati yako kwani bila nyinyi,tusingejua ufisadi wa tgt Escrow na haya mnayoendelea kutufahamisha juu ya uozo wa serikali.Ingawa wao wanadai eti ni baadhi yao tu sio wote.Waswahili walisema samaki mmoja akioza wameoza wote...
Dawa ni kubadili uongozi halafu hawa mafisadi wooooooote tutawaburuza cortin akiwepo baba yao kikwete. Kisha tutawafilisi mali walizonazo... huu ndio muarubaini wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.