Kwa wale watu weupe wana program zao huwa wana screen zao maalum huwa zinaonesha jina na namba ya mchezaj husika ivyo ni kusomaaa na kutaja tu simple sasa sijui kwa hapa kwetu kama wanatumia iyo
Babu siyo kweli hayo madai yako mim nimefanya kaz na baadaye mkataba ukaisha na nimepata pesa zangu vizur tu za NSSF kikubwa fuata maelezo kwanza lazima upate barua ya kusitisha mkataba na lazima isainiwe na HR wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.