sii kidogoly
Member
- Jul 3, 2022
- 35
- 74
Usituletee mambo ya ulaya CCM hawana noma
Mimi hua nasema jamii nzima ya watanzania ina matatizo ndio maana hata viongozi tunao toa ni matatizo maana wametoka miongoni mwetu.Hivi hili ni la Serikali au abiria kuchukua hatua? Maana sisi ndio tunapelekwa shell lakini tumekaa kimya etu unasubiri Serikali ichukue hatua si upumbavu huu
Mbona vifovilishatokea kwa daladala kulipuka ikiwa gas station labda kama ulikuwa hujazaliwaTusisubiri vifo ndo tuone ni hatari,tuchukue tahadhari sasa