hao wabongo wewe wanayeyusha tu huko.ila kwa sasa hapa tz wapo wengi wenye weledi hivyo national team legends kwa ushirikiano na tff pamoja na wizara tena pale yupo Ally mayay wanaweza kufanya jambo zuri.
Salaam kwenu viongozi wetu wa soka hapo Tff.
maneno mengi yamesemwa kuhusu Timu yetu ya Taifa(taifa stars).iwe kwa uzuri au kwa ubaya lakini ukweli watanzania wanahitaji mafanikio ya timu yao katika mashindano mbalimbali. Leo natoa ushauri tu wa nini kifanyike katika timu yetu ya taifa...
yani hii post ghafla nimeikumbuka mt100 pale juu ya mlima dah hesabu ilinikimbiza sana.mwamba hii paper ni laini sana weka swali# tukupe maujanja ya porini.
nitakufahamisha ili uwe msaada kwa wengine bro.mfano bsc in telecom eng cut off point ni 4 kwa masomo mawili ambayo wanaita core subjects ambayo ni hesabu na physics basi.chemistry weka pembeni angalia taratibu zilizowekwa kwenye creteria utaona maajabu.mtu amepata phy E chemistry A adv math D...
nipo Coict.nilipata BCE.phy C chem B adv Math E.ningelikuwa na D Ya physics nisingelipata nafasi hapa chuoni kwa hii kozi.kuna vijihesabu unatakiwe uvipige iliuweze kuendana na taratibu zao za cut off ya 4 kwa 2core subjects.hoja yako hapo juu kidogo haikuwa sawa huyo mwenye cee nafasi chuo...
hawezi pata kivipi watu tupo udsm na kozi nzuri tu nilipata E ya adv Math.usiwe na roho ya hivo ndugu haya maisha nakushauri usome vizuri taratibu zilizowekwa.Amani iwe juu yako
nimekumbuka mbali sana
mwl masatu kunikamata nikiota jua nakuniimbishq nyimbo ya shule
makamu mzee tende kunilazimisha kuimbisha mwenge ndio kwanza nilikuwa nimeripoti form five
kuoga wk to wk
kuna watu walikuwa wanakula bata hawachukuliwi hatua kali pale ngazi 15,ila ikitokea kwako utajuta...
Kwetu sote watanzania kutokana na Hali inavyozidi kuongezeka nadhani ni muda sahii kufanya constructive arguments ya Nini kifanyike katika Hali tuliyo nayo especially Hapa dar kutumia lugha zisizo na weledi haitakuwa poa. Ndugu zangu hili ni tatizo letu sote naamini hata Hao waliopo kwenye...
salaam kwenu wanajamii,
Naombeni msaada wa mawazo chanya katika kumsaidia kijana mwenzetu.kuna ndugu yangu amepata pts 28 matokeo ya kidato cha nne nataka nimuendeleze kupitia certificate courses, je kwa points hizo na utaratibu wa sheria za elimu hapa Tanzania ana sifa ya kuendelea na masomo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.