Kwetu sote watanzania kutokana na Hali inavyozidi kuongezeka nadhani ni muda sahii kufanya constructive arguments ya Nini kifanyike katika Hali tuliyo nayo especially Hapa dar kutumia lugha zisizo na weledi haitakuwa poa. Ndugu zangu hili ni tatizo letu sote naamini hata Hao waliopo kwenye uongozi wataTuelewa. Mimi naanza usafiri WA abiria dar kuingia/kutoka uzuiwe Fasta maana dar imeonekana kuwa kitovu cha COVID_19 Hapa Tz.
Unaweza kukanusha kama unahoja
Unaweza kukanusha kama unahoja