Apparent
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 220
- 110
Habari za muda huu wakuu.
Mimi nipo mwaka wa pili UDSM naomba kuuliza kama kuna aliewahi kufutwa kwenye mfumo baada ya kuchelewa kulipa ada.
Kusoma chuo bila mkopo ni mateso sana usajili unaisha leo halafu mwanaume huna kitu mfukoni na unatakiwa usome upate GPA nzuri.
Upande mwingine unaambiwa Serikali ya JPM ni ya wanyonge,usicheze na psychology ya maisha kuvurugika huwezi kutembea na kufanya la maana sababu una stress.
Kama una mkopo mshukuru Mungu toa shukrani kanisani na miskitini hujui wenzako wana hali gani inauma sana.
Mimi nipo mwaka wa pili UDSM naomba kuuliza kama kuna aliewahi kufutwa kwenye mfumo baada ya kuchelewa kulipa ada.
Kusoma chuo bila mkopo ni mateso sana usajili unaisha leo halafu mwanaume huna kitu mfukoni na unatakiwa usome upate GPA nzuri.
Upande mwingine unaambiwa Serikali ya JPM ni ya wanyonge,usicheze na psychology ya maisha kuvurugika huwezi kutembea na kufanya la maana sababu una stress.
Kama una mkopo mshukuru Mungu toa shukrani kanisani na miskitini hujui wenzako wana hali gani inauma sana.