Recent content by SIASAZ

  1. S

    Zinduka: Siasa inanunua watu, Polepole naye kanunuliwa

    Huyu Polepole hajitambui, kuna swala la Katiba anabwabwaja nalo sana. ENL na Samia Suluhu nani Adui Mkubwa wa Katiba??
  2. S

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Ulicho kiandika unaona kina make sense..?? Utumbo huo
  3. S

    CHADEMA Hakuna Mhandisi wala Mwanasayansi!

    Hah hah hah ha-ha haha
  4. S

    CHADEMA Hakuna Mhandisi wala Mwanasayansi!

    Fact imekaa vizuri mkuu hongera
  5. S

    Jicho la Tatu: Naona CHADEMA mmeanza rafu mapema, mkichezewa msilalamike

    Wewe ni msemaji wa chama au wa Serikali maana sikusomi.
  6. S

    Mch. Mtikila kuzuia uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015 Mahakamani, 2015

    Nadhani viongozi bora ni wale wanaoelekeza nguvu zaidi kwa WANANCHI na kuwaelimisha wao ndo waamue kuliko wanaotumia nguvu nyingi kupambana na viongozi ambao tayari wapo uongozini. N Maana yangu huyu ni mwana SIASA tayari na yupo kama kiongozi
  7. S

    Wanaume wa Dar katika kashfa nyingine tena

    Hah hah hah hah katika ubora wako
  8. S

    Mch. Mtikila kuzuia uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015 Mahakamani, 2015

    Mtikika kweli ana matatizo pia dhambi za kuacha uchungaji zinamchanganya
  9. S

    Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CHADEMA nchini kote

    Usilinganishe bahari na mbingu wala kuukufuru Moyo na nafsi. UKWELI wa democracy uko kwenye kura
  10. S

    Ivona Kamuntu wa Azam Tv, acha kumuiga Salim Kikeke bwana haipendezi

    Watu wana wivu sana, sasa huyu mtoa post huyu dada endapo atapata Mafanikio Makubwa ndo wa kwanza kuja kuunga mkono kwa kutupia picha. Watanzania vile vya maendeleo pia tunaweza iga, Wewe kijana pls usiwe na roho ya Korosho
Back
Top Bottom