Recent content by sia1

  1. S

    Hivi ni sawa Mwanamke kuhamia kwa Mpenzi wake kisa mimba?

    Mimi binafsi nimemshauri wafike kwa wazazi wote wa pande mbili ila wako kimya tu wenyewe.
  2. S

    Hivi ni sawa Mwanamke kuhamia kwa Mpenzi wake kisa mimba?

    Kuna ndugu yangu wa karibu kahamia kwa boyfnd wake km mwezi hv umeisha kisa ana mimba. Hv hatma yao hasa itakuwa ni nini? Sababu hawakuwa wamepanga kuishi pamoja ila ni kwa sababu tu ya mimba.
  3. S

    Hivi ni sawa kisa mimba utake kuhamia kwa mwanaume

    Mmmh...haya weee...sisi yetu macho tuone wanafikia wapi...
  4. S

    Hivi ni sawa kisa mimba utake kuhamia kwa mwanaume

    Kuna ndugu yangu kahamia kwa mpenzi wake kisa ana mimba. Hivi ni sawa? maana anahofu akijifungulia kwao itakuwa imekula kwake, kwani hata mwanaume akimsaidia hawezi kumsaidia na kuwa naye karibu kama asipohamia kwake. Pili anahofu akizaa akiwa home ni rahisi kutengana. Hivyo amehamia kwake...
  5. S

    Kuna siri gani - Wanawake (wasichana wengi) wanawapenda sana wanaume za watu?

    Mwanaume wa mtu analea utafikiri we ni mwanae
  6. S

    Naomba kuelekezwa Ocean Road Hospital

    Asanteni sana... nimefika hapa vizuri kwa maelekezo yenu. Mungu awabariki wote mlionisaidia kufika hapa hosp. Nasubiri kupima sasa. Asanteni.
  7. S

    Naomba kuelekezwa Ocean Road Hospital

    Niko mabibo.. naenda kwa ajili ya matibabu. Nimeandikiwa nikapime hapo uvimbe
  8. S

    Naomba kuelekezwa Ocean Road Hospital

    Asalaam...naomba kujuzwa oocean road hospital iko wapi...naomba direction pls
  9. S

    Biashara ya Uokaji (Bakery): Mbinu, Ushauri na Changamoto Zake

    Asante sana...niatafanya hivyo... ni home bakery. Na naifungulia huko mkoani c hapa dar. Mwezi ujao nitaanza mchakato then nitawajulisha. Asante.
  10. S

    Biashara ya Uokaji (Bakery): Mbinu, Ushauri na Changamoto Zake

    Natumaini unayesoma hapa uko poa salama salimini. Naomba unijuze garama ya kufungua bekari ya mandazi na mkate, na mengine yote yanayohusiana na hiyo biashara. Asante
  11. S

    Mume wangu kwa wiki mara moja tu, ndoa ina miezi miwili

    Asanteni kwa ushauri mzuri...km umekerwa na kufunguka kwangu samahani....ndoa naihedhimu sana...na pia nimesema hayo yote ili nipate ushauri... asanteni
  12. S

    Mume wangu kwa wiki mara moja tu, ndoa ina miezi miwili

    Cjawahi hata cwezi kwanza... namheshimu sana mume wangu...na nampenda sana. Najitahid kushiriki vizuri...mara nyingi tukichat huwa namuuliza anataka nini...nimfanyie nini aridhike...anasema hapana anaridhika...najituma sana kwa kweli lakin wapi
  13. S

    Mume wangu kwa wiki mara moja tu, ndoa ina miezi miwili

    Huyu ni wapili...mwanaume wangu wa kwanza acha kbs...mda wote yuko active...alikua ananifikisha hatareee...ila ndio hivyo tena tuliachana labda pia haikuwa ndoa imeandikwa mi na yeye...ndio nikampata huyo brazameni.... ni mzuri handsome wa haja...body body lakin hamna kitu...
  14. S

    Mume wangu kwa wiki mara moja tu, ndoa ina miezi miwili

    Nimeolewa miezi miwili iliyopita. Kabla sijaolewa huyu jamaa tulikuwa tunakutana mara chache chache sana. Na tulijuana miaka mitatu kabla ya ndoa. Na pia kwa kipindi chote tulikuwa tukisex akipiga moja ya km dk 10 akimwaga ndio imekwisha hajawahi kurudia, ni mpaka labda kesho tena au baada ya...
  15. S

    Natafuta Nyimbo za zamani za Taarab

    Asalaam... naomba km kuna mwenye nyimbo za taarab za zamani anitumie link
Back
Top Bottom