Recent content by Sia Mkama

  1. S

    Jinsi Gwajima alivyochangia anguko la Lowassa

    hakika kwenye politics kila move inaathari zake, hili la Gwajima lilikua na athari pia!
  2. S

    Angalizo kwa Mbowe, Mnyika, Kubenea, Mdee, Tundu Lissu

    Mkuu mbona ID yako na unachoandika tofauti kabisaaa
  3. S

    Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

    Leo rahaaaaaa
  4. S

    Mgombea Urais wa CHADEMA, E. Lowassa na mgombea mwenza wanapeleka NEC petition yao

    Akubali tuu kila kitu kina majira yake, simply majira ya Lowassa yameshaisha ameshindwa hiyo ndio demokrasia!
  5. S

    Makengeza ya fikra

    Nimekuelewa sana!
  6. S

    Baada ya Uchaguzi Mkuu tujiandae kushuhudia mnyukano CHADEMA

    Heheheh mi nasubiri tuu andiko lako litimie!
  7. S

    Mzee Mwanakijiji "eti al - lila na fila hawatengani"

    "Shangilieni Ushindi Waja" J.K
  8. S

    Uwepo wa Lowassa UKAWA umeongeza majimbo na kura

    Ruzuku pia imeongezeka, watu wanaona mbali.
  9. S

    Hawa ndiyo vijana wa Lowassa waliokamatwa na Polisi

    Sawa ila argument yangu ni kuwa kama wamevunja sheria wafungwe hayo maelezo yako hayana maana!
  10. S

    Usahihi: Maalim Seif hajajitangazia ushindi urais Zanzibar!

    Amevunja sheria. Hairuhusiwi kujumlisha matokeo!
  11. S

    ITV wanapotosha matokeo ya uchaguzi

    Mmiliki wake anatumia vyombo vyake vya habari ili kutimiza agenda zake ikiwemo swala la gesi!
  12. S

    Serikali iwaheshimu wananchi, ifanye yafuatayo

    CCM wameshinda UKAWA wameshindwa alafu wanakataa hayo ndiyo mazingira yaliyopo. Wananchi wengi wamemchagua Magufuli heshimu maamuzi yao ndio Demokrasia!
  13. S

    ITV wanapotosha matokeo ya uchaguzi

    ITV ni genge la Lowassa!
  14. S

    Hawa ndiyo vijana wa Lowassa waliokamatwa na Polisi

    Hao kama wamevunja sheria za nchi basi sheria ichukue mkondo wake!
Back
Top Bottom