ITV wanapotosha matokeo ya uchaguzi

ITV wanapotosha matokeo ya uchaguzi

Acha upopoma wewe, utakuja kufunguliwa defamation wakati unachopost hukifaham

, itv, azam kazi nzuri, keep it up
 
kama wamekosea na ni kinyume cha sheria, sasa unatwambia sisi apa ni mahakamani? Nenda ukafungue kesi au waambie TCRA siyo unakuja na ushuzi mchafu apa!!! ITV, ITV, ITV!!!

Sikiliza bwana mdogo,,,ujalizimishwa kusoma uzi: mpaka umeamua kujibu inamaana kuna ka ukweli umekapata; na hiyo ndo dhamira ya JF
 
Tazameni tbc na star tv.tv zingine ni misifa tu.utamkuta mtangazaji amegumikwa na mihemuko utadhani sijui nini
 
Nadhani ITV hapa hawahusika ila "bao la mkono ndio linahusika.

Huu unaweza kuwa ushahidi mwingine wa rafu zinazochezwa.

Tutafute uongozi kwa hila zote hafi kuchoma hata mahakama!!! Yeyote anaweza kutawala kwa kuwa Tanzania ni moja. Makosa mengine yanaweza kuvumiliwa
 
tunza huo ushajidi,,unatosha kuifungia hiyo television...


mi wazi kuwa wamepewa maelekezo maalumu na bosi wao.....ili kumtengenezea lowasa ushahidi fake kuwa ameibiwa kura...

nililisema asubuhi hapa kuwa kuna vituo vya tv vinabadili makusudi matokeo ya tume
 
kama wamekosea na ni kinyume cha sheria, sasa unatwambia sisi apa ni mahakamani? Nenda ukafungue kesi au waambie TCRA siyo unakuja na ushuzi mchafu apa!!! ITV, ITV, ITV!!!
Wewe kama siyo Massawe basi utakuwa Urassa
 
Ni kweli kabisa jana wamezua kizaa zaa huku mtaani kwa takwimu zao za uongo na upotoshaji mkubwa...nmewapigia sim hawajapokea nikaamua kuwatumia sms waache huu upotoshaji wa makusudi lakin hadi hiv sasa cjapata majibu yao..hili jambo halikubaliki hata kidogoo kwa chombo cha habari kama itv kuupotosha umma kwa maslai yao binafsi

We taahira kweli, wanaopotosha ni tume wenyewe. Ushindi wenu huo ni wa kidhalimu kabisa. Hii serikali itakuwa ya laana kabisa. Na nasema ilaaniwe!
 
Sam Mahela nae huenda sehemu za fujo tu kuonesha eti wafuasi wa chadema wanaonewa! Hovyo kabisa.
 
Hzo taarifa ni zenyewe kabisa.ukitaka kuamini chkua pen na karatasi wakat tume wanatangaza nawe unaandka utajionea maajab.
 
mfano ishu ya tunduma,tume imetoa wazi lowasa kapata 32 elfu na ushee,,ITV wanaonyesha lowasa kapunguziwa kapewa 6000,,,,
theni kina Tabby wanalalamika wakati wao wanachukua matokeo ya ITV yaliyopikwa
 
Wewe ndio uache ujuha.ITV hawahesabu kura ila wanatangaza kutoka vyanzo viwili.
Mkurugenzi wa halmashauri au NEC/ZEC.
Mkurugenzi ndio inaaminika anatoa angalau real results ila NEC inalalamikiwa kuwa inamodify results kutoka halmashauri.
Acha UJUHA.
Acha ujuha, hiyo picha ya juu ni ITV,,ya chini ni tume. uzuri mkanda umerekodiwa na sasa napitia moja baada ya moja. ushabiki wao na timu yao hauhalarishi uvunjivu wa amani ya watanzania wote
 
Acheni Kuchafua vituo vya watu hiyo picha imetoka kwenye screen ya tume ITV walicho fanya ni kuivuta tuu...huu sasa ni ujinga na utoto...uliopitiliza..!

Kwanza hueleweki..
 
Acheni Kuchafua vituo vya watu hiyo picha imetoka kwenye screen ya tume ITV walicho fanya ni kuivuta tuu...huu sasa ni ujinga na utoto...uliopitiliza..!Kwanza hueleweki..

Toka lini tume imetoa matokeo ya system hiyo? Au hujawahi kuqngalia tofauti ya tume na ITV?
 
Kituo cha itv kina mapungu mengi, pamoja na Ubora wake ila nahic kinatumika kisiasa, ninazo sabab kadhaa

1:matokeo yaliyotangazwa kwenye tv yao yakitaja jimbo la ndanda hayaendani na matokeo halisi ya tume ya taifa katika jimbo la ndanda

2:wanacover story za cdm kwa kiwango kikibwa zaidi ili kuuaminisha uma kuwa cdm imeonewa, mfn mdogo, ni hlo kundi la ukawa bila kuwa na aibu wanaleta uzushi et matokeo yafutwe kisa uchaguzi wa zanziba.. unajua hata ukiwa chizi huwezi kuwa na mawazo hayo,

Wametumika kusambaza sumu mbaya kwa wananchi wakati wala haikuwa habar ya kupokewa airtime kw kuwa na kipindi maalum..

Ifike hatua wakati huu maneno yote yanayotolewa na wanasiasa yachujwe na vyombo kabla hayajaenda hewan hasa kwa itv..

Ushauri tcra wawachunguze itv nahisi wanatumika kisiasa kuivuruga amani ya nchi yetu...
Tusikubali watz Amani ni tunu adim mno duniani ni bidhaa isiyohamishika na nimhim kuilinda kwa ghalama kubwa ili umoja wetu izidi kuendelea
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Hivi nataka na media zote ziwe wanafiki?? ITV sijaona kosa lao. Pasipo haki hakuna aman?
 
Back
Top Bottom