Recent content by Sia Mallya

  1. S

    Utajiri uliopo kwenye dhamana za serikali: Sehemu ya II (bonds)

    Poleni wadau, ukitaka kupata taarifa zaidi piga *150*36# utaona namna ya kununu hiyo bond, au tembelea matawi ya exim
  2. S

    Msaada: kuitwa bungeni kwa nafasi ya secretary

    Asanteni wadau, amesharipoti kazini na ameanza kazi,
  3. S

    Msaada: kuitwa bungeni kwa nafasi ya secretary

    Hao sina taarifa, walioitwa kwa sasa ni wale waliofanya interview March mwaka huu
  4. S

    Hodii hodii JF

    Asante ulimakafu
  5. S

    Utajiri uliopo kwenye dhamana za serikali: Sehemu ya II (bonds)

    Exim bank wameamua kukuza mtaji kwa kuissue bond, na wanahitaji kiasi cha shs 15 billions , mtu yeyote mwenye fedha anaruhusiwa kuwekeza na kiwango cha ching ni million moja kwa riba ya 14% kwa muda wa miaka sita, na riba italipwa kila baada ya mwaka, kwa hiyo ukiweka 1 million utapata 140,000...
  6. S

    Utajiri uliopo kwenye dhamana za serikali: Sehemu ya II (bonds)

    Somo hili limekuja wakati muafaka kabisa, ili kuelewa zaidi Exim bank wameissue bond , kiwango cha chini kuwekeza ni million moja,na 14% interest rate, kwa mtu mwenye fedha iddle aisee kawekeza hutajuta
  7. S

    Hodii hodii JF

    Asante Spider
  8. S

    Msaada: kuitwa bungeni kwa nafasi ya secretary

    Poleni na majukumu wadau, samahani naomba kupata ushauri , kuna kijana ameajiriwa halmashauri ya wilaya Fulani kama afisa ushirika na ameanza kazi mwezi uliopita mwaka huu, ila aliwahi fanya interview bungeni kwa post ya secretary mwanzoni mwa mwaka huu, nao wamemwita areport kazini...
  9. S

    Hodii hodii JF

    Asante sana Beyi
  10. S

    Hodii hodii JF

    Habari wana jf, poleni kwa majuku, niliingia jf kabla ya kujitambulisha jamani, naomba kujitambulisha rasmi, naomba tushirikiane, usiku mwema wotee, asanteni
  11. S

    NECTA acheni dharau, walipeni wasimamizi pesa zao za usimamizi wa mtihani

    Wilaya gani wakuu? Mbona huku washalipwa? Tena waliambiwa waende kwa mhasibu halmashauri
  12. S

    Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya Bandari tena. Makontena zaidi ya 2,400 yamepita bila kodi

    Uwiii, mbavu zangu, aisee umenichekesha sana
  13. S

    Academic posts Mzumbe University

    Jamani nikajua ndo hivyo tumeshabwagwa kapuni, jamani mwenye taarifa sahihi atujuze please, asante mkuu
  14. S

    Hakika jana ingekuwa ni siku ya kuandikwa kwa historia mbaya sana juu yangu

    Mungu aturehemu, nadhani siku ukirudia ni fumanizi la live bila chenga
  15. S

    Academic posts Mzumbe University

    Mhh!!asante kwa taarifa
Back
Top Bottom