Msaada: kuitwa bungeni kwa nafasi ya secretary

Msaada: kuitwa bungeni kwa nafasi ya secretary

Sia Mallya

Member
Joined
Nov 30, 2015
Posts
17
Reaction score
8
Poleni na majukumu wadau, samahani naomba kupata ushauri , kuna kijana ameajiriwa halmashauri ya wilaya Fulani kama afisa ushirika na ameanza kazi mwezi uliopita mwaka huu, ila aliwahi fanya interview bungeni kwa post ya secretary mwanzoni mwa mwaka huu, nao wamemwita areport kazini 7/12/2015,anaomba ushauri , he aendelee na kazi ya awali au aende kuwa secretary bungeni, na hiyo ya bungeni qualifications ni form four, ushauri please, asanteni sana
 
Poleni na majukumu wadau, samahani naomba kupata ushauri , kuna kijana ameajiriwa halmashauri ya wilaya Fulani kama afisa ushirika na ameanza kazi mwezi uliopita mwaka huu, ila aliwahi fanya interview bungeni kwa post ya secretary mwanzoni mwa mwaka huu, nao wamemwita areport kazini 7/12/2015,anaomba ushauri , he aendelee na kazi ya awali au aende kuwa secretary bungeni, na hiyo ya bungeni qualifications ni form four, ushauri please, asanteni sana

Aende bungeni akifika kule atabadili kada kwa chochote baada ya kujiendeleza. Kikubwa awe tayari kaingia kwenye system ya watumishi wa bunge then kama hapendi.kuwa sectretary baada ya kuthibitishwa kazini anafanya mchakato wa kubadili kada.
 
Poleni na majukumu wadau, samahani naomba kupata ushauri , kuna kijana ameajiriwa halmashauri ya wilaya Fulani kama afisa ushirika na ameanza kazi mwezi uliopita mwaka huu, ila aliwahi fanya interview bungeni kwa post ya secretary mwanzoni mwa mwaka huu, nao wamemwita areport kazini 7/12/2015,anaomba ushauri , he aendelee na kazi ya awali au aende kuwa secretary bungeni, na hiyo ya bungeni qualifications ni form four, ushauri please, asanteni sana
kuna waliofanya interviews apo Bunge mwezi uliopita mwishoni .... hao vipi washajibiwa nao?
 
Back
Top Bottom