Umejitahidi kukudanganya mkuu ila Kama kweli lakupiga chafya upo sahihi kabisa ndio Maana waislam husema Alahmdulilah MA mwengine humjibu mungu akurehem. Ipo dalili hapo nzuri
Malipo yapo kama sio Kwa Mkeo hata dada yako watu watalipiza kisasi vitabu vya dini ndio vinasema. Sasa kama ww hukuoa kabisa kisasi kitalipwa Kwa dada zako bora uoe jamaa walipe Kwa Mkeo kuliko Dada Au mwanao
Alikua Anajua anafanya kosa Kwa nn muda Wote hakurisit akiwa kazini na Anajua Vizur anauwezo WA uhandisi..nafasi ilikuwepo why not. Kosa lake awajibike Hakuna namna ingine aseee
Upo sahii c programming Lakini wanajua kusema Au ndio kuzaliwa mjini Wakija na kigoma cha ulugwai wakuchambe utakomaaa. Ila Ukabila udini Wapo Vizur kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.