Habari wana jamvi? nilikuwa naitaji kujua alipo mgombea wa ccm bwana john pombe magufuri alipo maana sasa yapata siku mbili hakuna habari ya huyu mgombea akijinadi kama mwenzake mh lowasa. mwenye kujua huyu bwana alipo anijuze. yuko wapi pombe?
ya udini limeisha? maana lumumba hamlali na vipi umeona ardhi hii alochukua sumaye tu vipi Migodi inayo milikiwa na kitumbo mzee wa malofa? vp melemeta? vp escrow? vp dowans? na je reli kuhujumiwa? mpaka lini wewe mwenye hakili utaelewa kuwa Tanganyika hipo lakini haina nguvu ya kusema? mimi...
Nilicho kiona mpaka sasa ni mwenyekiti wa chama cha ccm akimwacha mgombea wao akiswampa pekeee. na hiliali mwaka 2005 mwenyekiti alipewa kampani na mkapa.
Je kweli wasemavyo watu kila kitu kinamwisho na huu ndo mwisho wa hiki chama kilicho tawala kama ndiyo mama wa vyama wa Tanzania?
ukibaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.