YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

pamoja na kusafirisha bado hali haijawa kabisa maaana uwanja haujajaaa kabisa hata nusu ya watu wa ukawa haijafika
 
Eti sumae aliwambia akipewa lowasa chama yeye ataondoka? Mbona sasa sumae kaondoka kwenda kwa lowasa.....

Leo ukawa apa wanasaidiwa tu siku yao ikifika... Haoooo ....
 
Mimi Nilishasema Humu CCM Ni Kama Nyambizi(Submarine) Inafanya Mipango Yake Ya Mashambulizi Chini Ya Bahari.Ikiibuka Ni Dozi Tu Kwa Kwenda Mbele.Kibano Kimeanzia Jangwani Leo.Angaliane UKIWA Tusitafutane Tu.

Halafu nilishakushtukiaga wewe popoma basi tu nikakusitiri.
Haya niambie, vipi jana nasikia ulikuwa uwanjani kumshabikia shost yako Azam....
Matokeo yalikuwaje?
 
Mamvi akiona nyomi hili stroke itaongezeka!
Nimepita pale Jangwani wingi wa watu waliohudhuria ni mdogo sana haufikii hata 10% ya watu waliomlaki Lowasa Mbeya au Zanzibar. Hii inamaanisha mvuto wa CCM umekwisha na kama ni nguo ina viraka vinavyoonyesha maungo yote. Na kama ni mpauko basi imepauka kiwango cha kutia kinyaa. Pole sana Magufuli umeuziwa mbuzi kwenye gunia na Mkwere!
 
Wanaongea mipasho waongee kilicho wapeleka badala wamnadi Ma padlock wanampa airtime rais mtarajiwa Lowassa!
 
Back
Top Bottom