Recent content by Shushumara

  1. S

    Kuagiza Gari nje ya nchi vs Kununua Yard

    Unapotaka kununua gari befoward au sbt Japanese wanapunguzo lolote au ndio wanakomaa Bei Ile Ile waliyoandika. Naomba nieleweshwe.
  2. S

    Naomba ushauri kuhusu Mazda MPV

    Mimi nataka kununua Mazda verisa. Naipenda jinsi ilivyo. Je inachangamoto yoyote.
  3. S

    Wanafunzi 10 bora kitaifa matokeo darasa la saba 2021

    Habari zenu wanajamii wezangu wa forums. Ninamwanangu amemaliza la Saba lakini nilitegemea kapata wastani wa B. Ana A=3. ana B=2 na C=1. Atapangiwa shule ya kata. Anasoma Dar es salaam. Nia yangu nimuhamishe aende boarding ya serikali. Je kwa wastani huo naweza kufanikiwa kweli kupata shule...
  4. S

    Dawa ya kuondoa mvi kichwani

    Mazuri Sana. Kariakoo kwenye maduka ya vipodozi.
  5. S

    Dawa ya kuondoa mvi kichwani

    Kweli mafuta ya vei Hata Mimi natumia. Maduka ya vipodozi ulizia kikopo elfu 5
  6. S

    Tujuzane njia ya kupokea pesa kwa Paypal Tanzania

    Kwasababu inakuwa ngumu kupokea pesa PayPal. Je unaweza kutumia detail za ndugu yako ambaye ni raia wa Kenya na kutumia line ya safaricom yenye usajili wake. Yaani ukasajili kwa data zake mpaka jina unatumia lake. Italeta shida kwa njia hiyo. Maana ukijisajili ukiwa wako huko mbele hela...
  7. S

    House4Sale Nyumbani zinauzwa Kimara, Mavurunza

    Nyumba 2 zinauzwa kwa pamoja ndani ya eneo moja shilingi milion 70. Maongezi yapo. Zipo Kimara Mavurunza. Gari inafika mpaka mlangoni. Umeme upo. Nyumba ya kwanza inavyumba 12, vitatu ni master. Imepigwa tires, Nyumba ya pili inavyumba 5 vyote master. Wanaopenda biashara ya kuekeza kwenye...
  8. S

    Kurudishia hela AliExpress na ebay

    Huku eBay Kama seller haleti mzigo Tanzania anakuambia badilisha address sijui ship inakuwaje hapa maana wengine ndio tunajifunza funza kuagiza vitu. Unakuta kitu unakitaka unakutana na kikwazo Kama hicho.
  9. S

    Kurudishia hela AliExpress na ebay

    Mwezi mmoja. Nimetrack ndege imekuja Tanzania mzigo haupo. Lingine eBay mzigo mmoja wamecancell je hawasumbui kurudisha hela.
  10. S

    Njia za kupokea mzigo wako ulionunua kwenye mtandao(ebay,alibaba,amazon)

    E Bay wanakuja track number ukinunua mzigo kwao Kama aliexpress.
Back
Top Bottom