Habari Bandugu natafuta fremu ya biashara iwe maeneo ya Kimara, ubungo, au hata Tegeta kama sehemu itakuwa imetulia. nataka nianzishe biashara ya vyakula kama mamchele, mahindi, unga, ngano, kunde, maharage, nk. kimsingi iwe ni sehem ambapo wateja wapo watu wa kutosha wanaoweza kununua bizaa...