Raila Odinga amwangukia Lowassa

Raila Odinga amwangukia Lowassa

Huyu lowassa atakuwa kachanjia dawa ya ngekewa ingawa Kuna watu wanajitahidi kumpaka matope lakini jamaa anazidi kung'aa tu
Hakuna cha kuchanjia dawa mkuu,, ni hekima na busara tu ndizo zinafanya kazi!! Mvi za huyo mzee zinaonesha busara na hekima, lakini cha ajabu kuna mengine yameota mvi mpaka kwenye ndevu lakini busara ni "zero" (hiyo "0" isome kiswahali kama anavyotamka mkulu).
 
Lowassa ni chaguo la Mungu, kwenye sauti ya Lowassa ndipo Mungu hunena na watu wake, its matter of just time, mtakuja kuona, yote hutokea kwa makusudi ya Mungu
Anachonga barabara akishamaliza anatupwa kwenye Lori ataharibu barabara.
 
Lowassa na siasa za Kenya wapi na wapi... Propaganda za CHADEMA bana
 
Najua Odinga asipokua makini anapoteza msimu huu
 
Lowassa hata akimuunga mkono Trum,ikulu ya Tanzania ataiona kwenye tv tu
 
Mimi binafsi ninamuunga RAILA AMOLO ODINGA (RAO).
 
Odinga amuwangukia lowasa?uuhh kumbe kasema lowasa na magu marafk zake wamsapot sasa hapo kamuangukia vipi?? acheni unafiki
 
Kenyatta ameonyesha uwezo mzuri katika uongozi wake, changamoto iliyoko i think ni Ufisadi kidogo na Terrorist ambao walitaka kumuaribia utawala wake so he deserve to take over again. Lakin bado namshangaa mzee Lowasa kuwa na ushawishi hata kwa siasa za nje. Nafikir ni role model kwa politician
 
E.L ur a powerful man in decision making ,
 
Nyinyi mlio wasaliti watanzania. Kwa fisadi lowasa
 
Back
Top Bottom