Mama E.G. White ameperform miujiza mingapi wakati wa uhai kama ambavyo tunaona today prophets wanafanya. tunajuaje kwamba alikuwa Nabii wa kweli ukizingatia alirise from Millaririte movement ambayo ilicost maisha na mali za watu.
Ukijibu vizuri u will probably convince me to read her books
Pale Dom bado majanga, naomba kama anafatilia hii kamba afanye uchunguzi vishoka na watumishi wanamuaribia sana..this is 3rd year nafatilia hati nimeshapigwa Mia saba lakn hadi sasa sina document
Mimi ni msomi lakni siamini kama wasomi wa Tz wanaweza kututoa hapa tulipo. Kwanza wengi wa mapHd holder wana njaa Kali wanapopata nafasi hawawezi kuwa/kubeba njozi ya taifa.
Halafu issue ya uteuzi wa kumteua mtu ambae HAKUTARAJIA unamfanyia surprise ni hatari sana always they won't meet...
Salam hizi ziende hasa kwa wale wanaohama kwasababu ya matumbo yao na ya watoto wao na kumsahau mtoto Tz. Salam hizi ziwe pongezi kwa wanaohama ili kuinua Tz na kupinga unyanyasaji.
Nimeguswa Sana Sana Sana na msiba wa huyu Mzee like nimeshakutana nae tukasema mbili tatu. Kwakweli kila nafsi itaonja mauti. Bwana atusaidie kuhesabu siku zetu ili tuishi kwa hekima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.