sikuzamwisho
Member
- Apr 12, 2019
- 48
- 185
Wadau wa nguvu,
Binafsi ni Muumini wa vyama vingi na mara nyingi Nimeshiriki kuwapigia debe wagombea wa upinzani na Uchaguzi wa 2010 Nilikuwa kimbelembele kumpigia debe Dr Wilbroad Slaa kwa upande wa Uraisi na Ubunge Fredi Mpendazoe ambaye aligombea Jimbo la Segerea kupitia CHADEMA,
Kifupi Tulijitolea Mimi na Rafiki Zangu kumtafuta Mzee Fredi Mpendazoe atupe mabango,vipeperushi na bendera za CHADEMA ili Tumpigie debe nyumba kwa nyumba Segerea mpaka kinyerezi na Tabata yote Utatueleza nini kifupi Tulijitolea kwa hali zote mpaka Kutembea kwa miguu na bendera na picha zake mtaani kifupi Tulivurugwa,Uchaguzi ulipofika bahati mbaya au nzuri Mzee Fredi Mpendazoe alishindwa
Nakumbuka Nilikuwa Msimamizi na siku ya kuhesabu kura marudio yake Nilifika Mnazi mmoja jengo fulani walipokuwa wanahesabia Nilienda Nikiwa sina hata nauli sababu ya kimbelembele na mapenzi kwa Mpendazoe na Chama.Akapinga ubunge mahakamani lakini akashindwa Siku zikasonga siku moja Nikasikia kahama na kurejea CCM binafsi Niliumia namna Tulivyopambana lakini akasaliti.Siku moja Nilibahatika Kukutana Naye kwenye msiba wa Captain Bomani msibani hakuwa tena Yule Mpendazoe wa kipindi kile kwanza ameshika microphone [emoji441] anatangaza ratiba ya msiba kama MC wa huo msiba mzito,
Nikashangaa sana badae Nikamwambia Mzee Tulikupigania sana ubunge segerea akabaki anabun'gaa macho tu,badae Mtu mmoja akaniambia kumbe Mzee kauza mpaka nyumba yake segerea kudadadeki hakika masikitiko ya Watu hayajamuacha salama karudi kijijini kwao kulima Naamini Masikitiko ya Watu juu ya Wanaohama hama VYAMA bila sababu ya msingi Yanawatafuna na familia Zao,
Mtu aliyeniuma pia ni Meya kuyeko ambaye mpaka kadi ya CHADEMA Tulimtafutia na kumpa nafasi kugombea udiwani na kuwa Meya wa ilala kwa kubebwa Hii hata Watoto wake Gody na Neema Wanajua mshua Wao kaua bendi Kiasi gani,ilifikia hatua mpaka Watu walijichora rangi mwilini Mwao kwa ajili Yenu Mshinde Nyie kirahisi tu Mnahama Hahaaaaaaaa haaaaaa Haaaaaaa [emoji16]
Kifupi Watu Wana majonzi na Huzuni kwa ajili Yenu Nawashauri siasa Zisiwachonganishe na Wadau Wenu ikiwezekana muombe msamaha ili ile laana ya Mpendazoe isiwafuate!!!
Binafsi ni Muumini wa vyama vingi na mara nyingi Nimeshiriki kuwapigia debe wagombea wa upinzani na Uchaguzi wa 2010 Nilikuwa kimbelembele kumpigia debe Dr Wilbroad Slaa kwa upande wa Uraisi na Ubunge Fredi Mpendazoe ambaye aligombea Jimbo la Segerea kupitia CHADEMA,
Kifupi Tulijitolea Mimi na Rafiki Zangu kumtafuta Mzee Fredi Mpendazoe atupe mabango,vipeperushi na bendera za CHADEMA ili Tumpigie debe nyumba kwa nyumba Segerea mpaka kinyerezi na Tabata yote Utatueleza nini kifupi Tulijitolea kwa hali zote mpaka Kutembea kwa miguu na bendera na picha zake mtaani kifupi Tulivurugwa,Uchaguzi ulipofika bahati mbaya au nzuri Mzee Fredi Mpendazoe alishindwa
Nakumbuka Nilikuwa Msimamizi na siku ya kuhesabu kura marudio yake Nilifika Mnazi mmoja jengo fulani walipokuwa wanahesabia Nilienda Nikiwa sina hata nauli sababu ya kimbelembele na mapenzi kwa Mpendazoe na Chama.Akapinga ubunge mahakamani lakini akashindwa Siku zikasonga siku moja Nikasikia kahama na kurejea CCM binafsi Niliumia namna Tulivyopambana lakini akasaliti.Siku moja Nilibahatika Kukutana Naye kwenye msiba wa Captain Bomani msibani hakuwa tena Yule Mpendazoe wa kipindi kile kwanza ameshika microphone [emoji441] anatangaza ratiba ya msiba kama MC wa huo msiba mzito,
Nikashangaa sana badae Nikamwambia Mzee Tulikupigania sana ubunge segerea akabaki anabun'gaa macho tu,badae Mtu mmoja akaniambia kumbe Mzee kauza mpaka nyumba yake segerea kudadadeki hakika masikitiko ya Watu hayajamuacha salama karudi kijijini kwao kulima Naamini Masikitiko ya Watu juu ya Wanaohama hama VYAMA bila sababu ya msingi Yanawatafuna na familia Zao,
Mtu aliyeniuma pia ni Meya kuyeko ambaye mpaka kadi ya CHADEMA Tulimtafutia na kumpa nafasi kugombea udiwani na kuwa Meya wa ilala kwa kubebwa Hii hata Watoto wake Gody na Neema Wanajua mshua Wao kaua bendi Kiasi gani,ilifikia hatua mpaka Watu walijichora rangi mwilini Mwao kwa ajili Yenu Mshinde Nyie kirahisi tu Mnahama Hahaaaaaaaa haaaaaa Haaaaaaa [emoji16]
Kifupi Watu Wana majonzi na Huzuni kwa ajili Yenu Nawashauri siasa Zisiwachonganishe na Wadau Wenu ikiwezekana muombe msamaha ili ile laana ya Mpendazoe isiwafuate!!!