Hawajamaliza kulipa mabilioni kwa kufungia gazeti la mwanahalisi, wafungie tena hili waone moto.
Makonda hajaonewa, dawa ya mtu mwenye dharau kwa wengine ni kudharauliwa.
Kweli, Lowassa is the rock in politics. Uchaguz wa Mwaka huu tumevuka kwa Amani kwa sababu ya hekima na busara zake. wengi walitabiri tungekuww na vita. Na kwa hakika angesimama Dr. Slaa kwa Ukawa alivyo na visasi nchi ingeingia kwnye machafuko.
kwa Kwel nakupongeza sana, wanawake wa kiafrika wengi hawajipi fursa ya kuchagua wakipendacho. Nakuombea umpate mwenye hvyo vigezo umpime kwenye mizan ya uaminifu mtaishi vizur. Mm binafsi vigezo vimeniweka pemben.
Nasikitika kuwa bado watanzania tuna fikra changa na za kibaguzi kwa kiwango kikubwa hivi.
Yani tunataka rais anapoteua mawaziri aanze kufikiria wanatoka wapi? au aangalie uwezo wao wa kututoa hapa tulipo?
Kwa mfano mawaziri wenye uwezo mkubwa wangekuwa wanatokea mikoa mitatu pekee...
Naomba niseme japo kwa ufupi kuhusu huyu Mh.
Magufuli anayegombea kuwa mkuu wa nchi yetu
pendwa ya Tanzania. Kabla yote naomba niseme
wazi kwamba mimi ni member wa CCM walioko
kwenye vitabu vyao, kwani kadi yangu pale
Ubungo niliipia mpaka mwakani. Hatahivyo,
kifikra siko tena CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.