Wakati Serikali ikiwataka wananchi kulipa kodi za majengo kupitia kununua LUKU TANESCO Shinyanga wao hawaunganishi wateja wapya umeme kisa magari yao ni mabovu!
Miujiza hii inapatikana Tanzania pekee!! Ukiliangalia sana suala hili utaona waziri @Kalemani ni kama anahujumiwa! Inawezekanaje...
Kama ilivyo si kila mtu anajua kucheza mpira, sio kila mtu lazima auze duka, afungue saluni, etc.......vivyo hivyo hata FOREX si ya kila mtu. Anae amini kuwa ni scam na aendelee kuamini lkn asiwapotoshe wengine. Na wewe unaeambiwa chochote kuhusu forex hebu jipe muda wa kutafiti japo kidogo...
Wewe jamaa hata hujielewi. Yaani unashindwa kutofautisha kati ya biashara na kampuni inayoendesha biashara!!! Huu ni upuuzi wa kiwango cha juu sana.
Kwanini Watanzania tulio wengi hatupendi kusoma na kufanya own research japo ya haraka!!!!?? Kama umesoma forex ukaielewa huwezi weka pesa kwenye...
Salute comrades.
Nianze kwa kumshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia fursa hii ya FOREX. Kiukweli awali nilidhani ni masihara lakini nilipohudhuria training ya Dar bila kujali nilitokea Shinyanga all the way, na sasa nimeamini forex ni mkombozi kwa watu wengi. Binafsi nimeanza ku-download...
Siasa ni hesabu, siasa ni namba, siasa ni science, kilichofanywa na UKAWA ni hivyo vitu vitatu. Watatoka 10 wataingia 1000, hongereni UKAWA, hongera EL
Siasa ni hesabu, siasa ni namba, siasa ni science, inachofanya UKAWA ni hivyo vitu vitatu, nyie endeleeni kupiga kelele wkt watu wanatengeneza mkakati wa kuingia Ikulu......... Hongereni UKAWA mmepiga bao la mkono kwao
Niliwahi sema, bila tume huru ya uchaguzi upinzani kushinda itakuwa ni ndoto japo inawezekana. Lakini pia hawa watu (NYINYIEMU) wameshikwa pabaya, hapo ni wanajifariji, waacheni waweke kwani ndio wanaaga aga hivyo, mwisho October 25, mimi na wewe tuweke niya ya kujiandikisha (kama wewe bado...
Safi sana CAG, tena kwa hao wa-CCM hawakustahili hata 50M, kwa kazi ipi waliyoifanyia Tanzania?? Kupiga kelel za NDIOOO pale ndani bila kufikirisha ubongo wao?? Stupid wabunge wa NYINYIEMU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.