Vijana wengi wa CCM wanataka kutuaminisha kwamba maandamano ni VITA, UVUNJIFU wa AMANI nk.
Hii tafsiri hua wanaitoa wapi.
Na kwanini wana kiburi kupita kiasi?
Kuna mtu au watu kwenye mfumo hawamtaki bimkubwa, maana hii sio kawaida wanatumia nguvu kubwa kumharibia.
Maeneo walio amua kuyagusa yanazidi kuharibu reputation yake kama alikua nayo huko mitaani.
Apange upya safu yake bado hajachelewa.
Padre namwombea apone haraka japo kua inaonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.