Habari Zenyu Waungwana,
Kuna Ujenzi Unaendelea Wa Barabara Za Ndani Ktk Eneo La Makumbusho Kurahisisha Uingiaji Wa Mabasi Kwenye Kituo Cha Makumbusho Ni Jambo Jema, Ila Kabla Hawajafika Mbali Na Kazi Hiyo Naomba Nishauri Wazingatie Kuweka Maeneo Huru Ya Watembea Kwa Miguu Ili Kuepusha Watu...
Mwanamume Yeye Huumia Kihisia Tu, Faida Anayoipata Ni Kula Pesa Zake Peke Yake. Ila Mwanamke Ndie Huumia Zaidi Kwa Namna Tofauti, Kihisia Na Kimwili Kutokana Na Mrija Wa Matunzo Kukatika Na Kutelekezwa Na Mimba Au Mtoto.
Hiyo Ya Watu Kuvaa Chupi Za Kike Mimi Mwenyewe Nishaishuhudia Kwa Macho Yangu, Msela Akadai Za Kike Hazibani Sana Na Hazisababishi Joto Kama Boxer Za Kiume. Ila Yeye Alisema Kachukua Kwa Demu Wake, Hivyo Hata Demu Wake Anajua Mpango Huo!.
umeona sasa, namna hiyo ndo inapendeza sio mtu kutumia jinsia yake kuhalalisha tabia ya kuomba omba. mapenzi ni ushirikiano wa wawili wapendanao ktk kuyajenga maisha. zikiwepo utapewa hata bila kuomba, inapendeza mapenzi yawe ni kitu cha kubembelezana, kufarijiana na kuhurumiana na sio...
mke ni msaidizi wa mwanamume, mungu tayari katukabidhi muda mrefu hawa viumbe hata mwenzao jenifer lopez analijua fika hili mpaka akatoa single inaitwa "love dont cost a thing". huhitaji uwezo wa kiuchumi ili kummiliki mwanamke ila inakupasa umtumie kama rasilimali ya kukuongezea kipato. ndo...
huo uliousema wewe ni usumbufu wa kutongozwa kila wakati. mtoa mada kazungumzia ugumu ni upi kati ya hayo mawili, mi naona bora sisi vidume tuna afadhali maana mwanamke kama amemzimia msela ugumu unakuja amkubalije asionekane kicheche ndo linakuja jibu subiri nikafikirie. sie huwa tunajitoa...
kweli mkuu inaongeza ukubwa wa uume na unene mm ni shahidi wa hilo ila shughuli hiyo uianze mapema tangu uko bwana mdogo ndo utaona matokeo bora. sio uanzie ukubwani.
Kupangiwa kazi nyingine mimi nahisi ni kumshusha kwenye nafasi aliyonayo na kumpa kazi ya mshahara mdogo au kuendelea kumlipa mshahara akiwa benchi mpaka muda wake wa kustaafu ufike. taratibu za kumfukuza kazi mtumishi wa kuajiriwa wa serikali ni ngumu sana tofauti na mwanasiasa wa kuteuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.