Naomba niwe msaidizi wako
Japo naweza nisieleweke ''Kila unachokiona kinafanyika katika ulimwengu huu (physical) tayari kimekwisha kuwepo kwenye ulimwengu wa Roho. Iwe ni cha Kimungu, iwe ni cha kishetani hata sisi wenyewe vitu tunavyoonekana tunavifanya, tayari vinakuwa vimeshatengenezwa kwenye nafsi/mawazo yetu.
Vyote vinavyotokea sasa tayari vimekwisha kuandikwa kutoka mkatika ulimwengu wa Roho. Sasa inategemea namna vinavyotokea hatika uhalisia wake. Kusema Mwanamke aliumbwa kwa bahati tu hatupo sahihi...
Yanayotokea ulimwenguni ni kama PRINTING ya ulimwengu wa ROHO. Kwa lugha nyepesi chukulia mfano wa Kuchapisha/Kuprint kitu. Printing inavyokuwa.. Wazo linatoka moyoni/kichwani unalichapa kwa komputer halafu kupitia komputer unalituma kwa printer... ndio unaona physical copy'' Cha kujiuliza, Kwani hio document/maandishi yalianzia kwenye Printer?
THE PHYSICAL WORLD IS THE PRINTING OF THE SPIRIRUAL WORLD. (Either from higher realms of the lower ones)
cc Newcreation, Ablessed na Blue G na Kaunga
Waebrania 11:3
''Nasi twajua kwa Imani ya kwamba, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana, havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri''
Hebrews 11:3
''By faith we understand that the worlds were prepared by the word of God, so that what is seen was not made out of things which are visible''
wanaoipeleka dunia kusikojulikana ni wanaume wenyewe. Kuanzia kisiasa (maamuzi ya nci tajiri), kijeshi (vita), kijamii (ushoga), n.k. Kati ya yote hayo kuna mkono wa mwanamke?Na ndio watakaoihitimisha dunia hii (wanawake). habari ya wao kuzaa isikupotezee muda. wanaipeleka dunia kusikojulikana kinyume na plan ya aliyeiumba. "with woman in control the world is no longer safe"
^^
Kwa mie nisie mcha Mungu ipasavyo, na sina pesa, na maarifa yangu haba.
Je, kuna tumaini lolote kweli? Au ndo nimepishana na gari la wanawake?
^^
Tumaini unalo,mm nahitaji sana wa sifa zako.Nitakutafuta,have a smile bas!
eti by the way tu, omba msamaha kwa wanawake, hujajua kila jambo hutokea kwa makusudi ya Mungu, Hivi unafikiri Yesu alivyopelekwa nyikani kujaribiwa na shetani Mungu alikuwa hajui?Mungu hakuwa na mpango wa kumuumba mwanamke, wala haikua katika plan zake, ni uzoba wa Adam kushindwa kutumia mazingira yake vizuri katika kutengeneza furaha yake binafsi ndo kulisababisha atleast Mungu kuanza kufikiri nini cha kumuongezea Adam.
wanawake waliumbwa BY THE WAY tu, so uchambuzi wako hauna msingi
mke ni msaidizi wa mwanamume, mungu tayari katukabidhi muda mrefu hawa viumbe hata mwenzao jenifer lopez analijua fika hili mpaka akatoa single inaitwa "love dont cost a thing". huhitaji uwezo wa kiuchumi ili kummiliki mwanamke ila inakupasa umtumie kama rasilimali ya kukuongezea kipato. ndo maana vijijini mtu anaongeza mke ili wamsaidie kulima shambani.
funny!!! huo ulimwengu wa rho uko wapi??? unabishana na BIBLE or??? thats what the Bible teaches, the woman creation was not on Gods plan at first, god wanted to create man only.
Dont bring your ullusions in the contest of Holy Bible
Mkuu umejitahidi, japo umepuuza agano LA Mungu katika utakatifu.Bila shaka umewahi kushuhudia au kusikia kwamba:
wanawake [wa zama hizi wakiwa wanaongoza] wanavutiwa kimapenzi na wanaume wenye uwezo [i.e wenye kazi nzuri, wenye fedha za kutosha, wenye mwelekeo mzuri kiuchumi na wenye akili za maisha] huku wakiwapuuza ama kuwakataa wanaume ambao "hawana mwelekeo" wa maisha mazuri.
Unajua ni kwa nini wanawake wana hulka hii?
Nitakudokezea kidogo! Ukisoma Mwanzo 2: 7-25 Utaelewa kuwa Mungu alipomuumba mwanaume alimpa vitu VINNE (4) kwa vipaumbele vifuatavyo:
Kwanza alimuumbia roho ya kuabudu;
pili akampa kazi(kutunza wanyama, kuitunza na kuihudumia bustani ya Eden kwa ajili ya chakula n.k);
Jambo la tatu akampa maarifa (Kipi cha kufanya na kipi cha kutofanya pale bustanini).
Baada ya hayo matatu ndipo akampa [jambo la nne] nalo ni msaidizi, yaani mwanamke.
Nini maana yake?
Hii ina maana kwamba Mungu alitambua kuwa ili mwanamume amudu kuishi na mwanamke pasipo matatizo anatakiwa:
1) awe na uhusiano mzuri na Mungu,
2) awe na kazi inayotosheleza mahitaji na
3) pia awe na maarifa na akili za maisha na za kumuongoza mwanamke(ambaye Mungu anamtaja kama kiumbe dhaifu).
Ndani ya kila mwanamke kuna "king'amuzi cha asili" kinachokazana "kusaerch" mwanaume mwenye vigezo hivyo vitatu.
Kwa hiyo wanaume (hasa msiooa bado) msipoteze muda kunung'unika, kulaani na kulalamika inapotokea wanawake "wakali" wanawakataa kwa sababu hamna hivyo vigezo.
Anachoangalia mwanamke ni usalama wake kiuchumi, kimaamuzi, kiroho na kihisia pindi atakapokuwa chini yako [yaani atakapokuwa mkeo] Hivyo nawashauri mhakikishe mnamtafuta Mungu kwa bidii, iweni na mitazamo, maono na mipango inayoeleweka kuhusu uchumi wenu[wa sasa na wa baadae] na tatu tieni bidii katika kujifunza mambo mbalimbali kuhusu maisha:
Ndipo "VING'AMUZI" vilivyomo ndani ya "WAKE WEMA" vitawanasa mlipo pasipo ninyi kulazimika kutumia nguvu nyingi na maneno mengi.
Na kwenu wanawake; ukiolewa na mwanaume asie na sifa hizi tatu jilaumu mwenyewe!
Umenena vyemaBila shaka umewahi kushuhudia au kusikia kwamba:
wanawake [wa zama hizi wakiwa wanaongoza] wanavutiwa kimapenzi na wanaume wenye uwezo [i.e wenye kazi nzuri, wenye fedha za kutosha, wenye mwelekeo mzuri kiuchumi na wenye akili za maisha] huku wakiwapuuza ama kuwakataa wanaume ambao "hawana mwelekeo" wa maisha mazuri.
Unajua ni kwa nini wanawake wana hulka hii?
Nitakudokezea kidogo! Ukisoma Mwanzo 2: 7-25 Utaelewa kuwa Mungu alipomuumba mwanaume alimpa vitu VINNE (4) kwa vipaumbele vifuatavyo:
Kwanza alimuumbia roho ya kuabudu;
pili akampa kazi(kutunza wanyama, kuitunza na kuihudumia bustani ya Eden kwa ajili ya chakula n.k);
Jambo la tatu akampa maarifa (Kipi cha kufanya na kipi cha kutofanya pale bustanini).
Baada ya hayo matatu ndipo akampa [jambo la nne] nalo ni msaidizi, yaani mwanamke.
Nini maana yake?
Hii ina maana kwamba Mungu alitambua kuwa ili mwanamume amudu kuishi na mwanamke pasipo matatizo anatakiwa:
1) awe na uhusiano mzuri na Mungu,
2) awe na kazi inayotosheleza mahitaji na
3) pia awe na maarifa na akili za maisha na za kumuongoza mwanamke(ambaye Mungu anamtaja kama kiumbe dhaifu).
Ndani ya kila mwanamke kuna "king'amuzi cha asili" kinachokazana "kusaerch" mwanaume mwenye vigezo hivyo vitatu.
Kwa hiyo wanaume (hasa msiooa bado) msipoteze muda kunung'unika, kulaani na kulalamika inapotokea wanawake "wakali" wanawakataa kwa sababu hamna hivyo vigezo.
Anachoangalia mwanamke ni usalama wake kiuchumi, kimaamuzi, kiroho na kihisia pindi atakapokuwa chini yako [yaani atakapokuwa mkeo] Hivyo nawashauri mhakikishe mnamtafuta Mungu kwa bidii, iweni na mitazamo, maono na mipango inayoeleweka kuhusu uchumi wenu[wa sasa na wa baadae] na tatu tieni bidii katika kujifunza mambo mbalimbali kuhusu maisha:
Ndipo "VING'AMUZI" vilivyomo ndani ya "WAKE WEMA" vitawanasa mlipo pasipo ninyi kulazimika kutumia nguvu nyingi na maneno mengi.
Na kwenu wanawake; ukiolewa na mwanaume asie na sifa hizi tatu jilaumu mwenyewe!
Naungana nawe kwa hiloNa ndio watakaoihitimisha dunia hii (wanawake). habari ya wao kuzaa isikupotezee muda. wanaipeleka dunia kusikojulikana kinyume na plan ya aliyeiumba. "with woman in control the world is no longer safe"
Naona bora mbishane kwa fact kuliko maneno ya kwenye khangaYawezekana ni illussions kama unavyofikiri. Pole.
Nipe maandiko yanayothibitisha usemacho na mimi nitakupa yanayothibitisha nilichokiandika. Vinginevyo utakua unaongea tu stori za vijiweni.