TUME ya taifa ya Uchaguzi sasa imethibitisha kuwa
wanafunzi wa Vyuo vikuu hawatapiga kura katika
uchaguzi mkuu ujao.
Akizungumza katika kipindi cha kikaangoni
kinachorushwa na EATV, jana Emmanuel Kawishe
amesema kuwa wanafunzi hao hawataweza kupiga
kura kuchagua diwani,mbunge au Rais kwa...
Sio nawakejel ila najaribu kuwaeleza uhalisia uliopo na hasa kwa kipindi hiki ambapo watu wanategemea sana kupata habari kupitia mitandaoni.
Meneja wa masoko tafadhari wateja wenu tunaomba hlo suala la 1mb mliangalie vzuri.
Kwa dunia ya sasa mitandaon ni muhimu sana ila ninyi mnatulazmisha...
Jumanne Iddi alipita kwa kishindo sana maana alikua na nyota nzuri lakini baada ya hapo hadi sasa wanaovuma ni wengine like Kala Jeremiah na wengine. Wachambuzi walisema mwenye kipaji alijua KJ, na hii ya Kayumba nahisi mshindi wa pili ndiye atakayevuma kama KJ.
Ni mtazamo.
Wadau,
Naomba msaada, kwa mtu mwenye nyimbo ambazo hutumika kwenye mashindano ya Dance mia mia nazipenda sana, au kama unazifahamu majina yake. Mimi naifahamu moja tu ya gweta.
Nitumie to WhatsApp 0766176001
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.