Huyu Dada anaakili Ndogo kweli alijua kwamba anakuja kujitambulisha Mtoto Wa lowassa wakati anapicha fb na historia yake watu wanaijua,mbona ni picha la kitoto sana kama na dereva kausika basi kweli maneno ya gwajima sio bure
hawajiheshimu celebrate wa bongo hasa yeye mwenyewe hawajielewi wao maisha yao hayana maadili wanakimbizana na siasa hawajui ina effect gani kwenye Kazi zao nani atakupa matangazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.