nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,620
- Thread starter
- #81
Nmb ?Akiba Commercial Bank, nathani wa CRDB wamepata mapema kabla ya hapo. Acha kuilaum Serikali kwa mambo ya uongo, ili siku ukilaum kwa mambo ya kweli uaminike.
Nmb ?Akiba Commercial Bank, nathani wa CRDB wamepata mapema kabla ya hapo. Acha kuilaum Serikali kwa mambo ya uongo, ili siku ukilaum kwa mambo ya kweli uaminike.
Kweli umenenaHivi hapo ufipa mna laana?
Hivi wewe ni Mwajiriwa mpya ?Nmb ?
Masharti yake yapojeNenda kachukue NMB advance salary huku JF hakuna mlipaji wa mshahara wako.
Hata 28 ni hisani pia, inapaswa kulipwa tarehe ya mwisho ya mwezi husika.Kulipwa mshahara tarehe 23 ni Hisani tu, mshahara unatakiwa kulipwa tarehe 28 ya kila mwezi.
Wewe unapochelewa kumlipa mshahara dada wa kazi uchochoroni kwako mbona hujawahi kuanzisha Uzi humu!?Serikali imekuwa ikilipa mishahara tarehe 22 kila mwezi Leo hii tarehe 23 mishahara ya watumishi wa serikali bado hii wazi kuwa Hali ya uchumi nchini ni mbaya sana wananchi tuichangie serikali ili iweze kujikwamua .
Katika hiyo kazi yako mpya utasimamiwa na serikali ya Congo au ?Mdaaa sio mrefu tutaanza kukopwa yaan tujiandae kwa hili ndugu watumishi,Ila sasa wasimamizi Wa watumishi walivyo na viherehere kuhimiza wenzao wapige kazi na mavitisho kibao ,any way me Nina mikakati ya kuacha kazi ya serikal na kukomaaa kivyangu vyangu
Tena laana ya kula nyama ya mtu.Hivi hapo ufipa mna laana?
Ndugu, Mimi ni mpinzani nahisi kukuzidi, ila kwa hili, wafanya kazi lazima mjiongeze kwa vimiradi. Yaan Mshahara kuchelewa masaa unaanzisha Uzi Jf?Ww umelipwa mishahara ? Kama wana pesa kwann wameshindwa kulipa kwa wakati ?
Maisha ni kupanga na kuchagua, acha kazi kama unaona haikufai, usibaki kulalamika hovyo tu. Kwanza kazi zenyewe hamfanyi huduma mnatupa mbovu tena kwa vinyongo kila kukicha.
Kwa akili hizi za vijana wa bavicha acha magufuli awamalize kwa kuwanunua, kufawafunga na kuwapiga virunguSerikali imekuwa ikilipa mishahara tarehe 22 kila mwezi Leo hii tarehe 23 mishahara ya watumishi wa serikali bado hii wazi kuwa Hali ya uchumi nchini ni mbaya sana wananchi tuichangie serikali ili iweze kujikwamua .
Hivi watu mna akili gani? Hiyo hisani inayoka wapi? Tareh 23 mpaka 23 ya mwezi mwingine kuna siku ngapi? Hata wangelipwa kila tarehe 5 hakuna hisani yeyote ni mfumo tu!Kulipwa mshahara tarehe 23 ni Hisani tu, mshahara unatakiwa kulipwa tarehe 28 ya kila mwezi.
Kuna umhimu gani wa kuajiriwa sasa sema serikali hii haina pesa wawalipe watumishi mishahara yao kufanya miradi ni utashi wa mtu na hakuna uhusiano wa direct wa kuchelewesha mishaharaNdugu, Mimi ni mpinzani nahisi kukuzidi, ila kwa hili, wafanya kazi lazima mjiongeze kwa vimiradi. Yaan Mshahara kuchelewa masaa unaanzisha Uzi Jf?
Watanzania bana tarehe 22 au 23 ndio mwisho Wa mwezi? Subiri 30 au mwezi upiteSerikali imekuwa ikilipa mishahara tarehe 22 kila mwezi Leo hii tarehe 23 mishahara ya watumishi wa serikali bado hii wazi kuwa Hali ya uchumi nchini ni mbaya sana wananchi tuichangie serikali ili iweze kujikwamua .