Tumekaa hapa tumekosa huduma kwasababu hamna chenji, kwahio hatuwezi kusafiri, na usafiri unafika kwakuchelewa na ukifika tunasafiri kwa hali isiyo ya kibinadamu. [emoji50][emoji100][emoji50][emoji100] nasikitikia nchi yangu na sijui pakutua mzigo. kuna mambo yanafanya vijana waonekane wa...
Hapa tunakua tunazunguka hapo hapo, sawa mtu mwenye 80+b in tshs ni rapper tu asie na chakukwambia, ndio serikali na organization za aina hozo wapo sahihi mda wote na ndio wewe kama muafrica unapendwa na wazungu na unamanufaa nao kuliko hao waliokua slaves for 400+ years. Mi nmemaliza maana...
1. wewe nimekupa facts na references wapi unaweza kwenda kuona nachokwambia ni facts, nipe links na facts zinazoonyesha kwamba undocumented immigrants wanalipa kodi.
maana ya undocumented ni kwamba hata serikali haijui wapo wangapi na hata ivo nkigoogle naona ambae yupo credible anakadiria...
Shida kubwa ni kukosekana kwa mstari "vya kaisari apewe kaisari" katika Quran. Mara nyingi kuvunjwa kwa haki za kiislamu hua zinatafsiriwa moja kwa moja kama kuvunjwa kwa haki za mwananchi/raia ni vitu viwili tofauti. Kukosekana kwa utengano kati ya dini na serikali ni tatizo kwa dini zote na ni...
Ila Mjapan alizidi, soma unit 731 na rape of Nanking. kweli mabomu ya nyuklia ndo yanasababisha watu hadi leo wanaogopa hadi umeme wa nuclear, ila ki-unyama dhidi ya binadamu, mJapan alikua sawa tu au kumzidi mjerumani vita ya pili ya dunia kwa mtazamo wangu.
Hapo sikubaliani na wewe, kweli ni mawazo ya mbali ila, ni mawazo ambayo inabidi tuanze kuyafikiria. lazma awepo muanzisha gurudumu.
kuna hatari tofauti tofauti ambazo zinafanya kuishi duniani peke yake isiwe mpango mzuri kwa binadamu kama tutaendelea kuishi kwa miaka mingi sana.
Mpaka...
Hapa mimi nnamambo mawili yanayonitishia juu ya hili:
1. Umuhimu wa data/internet upo juu kuliko huduma zingine zote zinazotolewa na mitandao ya simu, kwasababu shughuli zote ambazo awali zilikua zinategemea mitandao ya simu zinaweza kukamilishwa na internet na aplikesheni; kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.