Kuamua kuchukua maamuzi ya kubadilisha wapenzi kila mara ili kushindana ex wako ni kujidharirisha tu. Mi naamini mwanamke ni kiumbe chenye staha kuliko mwanaume. Tafuta pesa kama habari ya mume mlilie Mungu atakupa atakuepusha na wanaume ambao si waaminifu.
Huwezi kupingana na neno la Mungu. Ukisoma kutoka 22:18 imeandikwa husimwache mwanamke mchawi kuishi pia imeandikwa kushindana kwetu si juu ya damu n.a. nyama bali ni juu ya falme na mamlaka za nguvu za giza. Mamlaka za giza ni pamoja na uchawi, majini, mizimu na wagan ga wa kienyji. Uchawi...
Pepo la hasira limekuvaa ndugu. Tena linaweza kukupelekea ukajiua. Muombe Mungu sana vunja mikataba na majini hasa makata ndo kazi yake. Kwani kazi mpaka serikalini kuna nguvu inakudrive unknowingly
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.