Pamoja na
Pamoja na maelezo yako mazuri lakini nataka nikukumbushe jambo moja kwamba dini ni njia ya maisha ya mwanadamu ikijumisha tamaduni na desturi za mafundisho yake. Vazi nililochagua ni lolote linalokidhi hitaji la dini yangu. Napenda mtindo niliotuja kwa personal preference tu.
Poleni na pilika wanajukwaa. Nawasalimu kwa lugha zote.
Natarajia kuoa next month. Naomba kujulishwa maduka ya nguo za harusi za kiislam. Naprefer zaidi mitindo ya kihindi.
Wasaalam
Poleni na pilika za kila siku wanajukwaa, nawasalimu ktk salamu zote..
Natarajia kuoa next month. Naomba kujulishwa maduka ya nguo za harusi za kiislam hapa Dar ikiwa pamoja na bei zake. Naprefer zaidi mitindo ya kihindi.
Wasalaam
Hatimae waliofanyiwa usaili jkt wa kujitolea wameambiwa waripoti katika vikosi walivyopangiwa kwa nauli zao.
Je wale wa zimamoto usaili utakuwa lini kwa mwenye tetesi tafadhali atusaidie wana jukwaa
Wabunge wa ccm wamepewa mgao wa milioni 10 kila mmoja ili waupitishe muswada wa sheria. Je mtukufu rais hii rushwa huioni? Au wananchi tuamini kwamba huu mchezo umeratibiwa kutoka juu. Hivi inawezekana kweli katibu apange huu mpango halafu mwenyekiti asijue?
Pole sana ndugu yangu. Bahati mbaya hili limekugusa moja kwa moja lakini pia huwezi jua kesho utaguswa na lipi ktk serikali hii. Tunahitaji kubadilisha mfumo, ccm imechoka na haina jipya. Tujaribu kuwa kama marekani, tukubali kufanya mabadiliko kwa maslahi yetu watanzania. Pole sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.