Hapa lipo tatzo linakuja,, japo shule nyingi zimekua na matokeo mabaya ya kidato cha pili na nne,, Ila kwa wanafunzi wachache walopenya ni kutokana na masomo ya ziada (remidials) ambayo hufanyika jion muda usio wa kazi, hii husaidia kumaliza mada kwa wakati, na kupata muda wa kutosha kufanya...
Hahahahahah humu Jf rahaaa kweliiii ukisema Uongo ukimsifia Lowasa na UKAWA WOTE wanakuamini Ila ukisema u kweli unaoponda UKAWA utatoa povu na kuambulia Matusiii
Nafarijika sana nikipitia mitandao ya kijamii kwani 90% ya wadau wanamuunga mkono Eddo sasa sijui kura zipigwe humu humu afu ma admn ndo wewe wasimamizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.