Recent content by SHIVA MAINA

  1. S

    Waalimu wa science tukutane hapa!!!

    Ni kwel mkuu, mimi pia, napanga kuchomoka nikapige CO,
  2. S

    Prof. Ndalichako, Shule hii Soksi za 1,500 Tunauziwa 5,000/=

    Kwani shule za serikali hamuzioni?? Peleka mwanao public school kama huna pesa!! Elimu gharama
  3. S

    Binti mwanasheria anapatikana

    Weka picha yake
  4. S

    Usijaribu kusoma kozi hizi, utakufa njaa

    Sasa kwa nini usiwashauri wasome SAYANSI mapema
  5. S

    Magufuli, acha kujitafutia sifa kwa mfumo huu

    Hakika bichwa lako limejaa mavi
  6. S

    Ada na Michango mashuleni kwa ajili ya mwaka ujao, imeagizwa kama kawaida!

    Hapa lipo tatzo linakuja,, japo shule nyingi zimekua na matokeo mabaya ya kidato cha pili na nne,, Ila kwa wanafunzi wachache walopenya ni kutokana na masomo ya ziada (remidials) ambayo hufanyika jion muda usio wa kazi, hii husaidia kumaliza mada kwa wakati, na kupata muda wa kutosha kufanya...
  7. S

    Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'!

    Watu hawana Jema, kila kitu mnakosoa,, mnataka afanye bibi yenu ndo msapoti?,, mtakufa na vigimbi vya roho, shwain
  8. S

    Kisheria na kiuhalisia: ZEC wanakwamisha Tanzania nzima

    Boya wewe umesoma chuo gani
  9. S

    Tutashinda kwa kila mbinu,na mbinu zenyewe tunazo

    Hahahahahah humu Jf rahaaa kweliiii ukisema Uongo ukimsifia Lowasa na UKAWA WOTE wanakuamini Ila ukisema u kweli unaoponda UKAWA utatoa povu na kuambulia Matusiii
  10. S

    Tundu Antipas Lissu

    Nafarijika sana nikipitia mitandao ya kijamii kwani 90% ya wadau wanamuunga mkono Eddo sasa sijui kura zipigwe humu humu afu ma admn ndo wewe wasimamizi
Back
Top Bottom