Recent content by Shirima Paul

  1. S

    Ukweli kuhusu ATCL Boeing 787-8

    Sasa unakataaje hakuna harufu ya ufisadi? Yawezekana Serikali imenunua kwa $99M lakini wakatuambia $Zaid ya 200M ambapo ni mara mbili zaidi..... Hapa wakuelewe tu kuku wa lumumba, shame on you Kupigwa tumepigwa... Haina mjadala
  2. S

    Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkuu wa Jeshi la Polisi(IGP) nani ana cheo kikubwa?

    Mkuu wa majeshi means yupo juu ya majeshi yote nchi kavu, majini na angani.... Yan usalama wa raia, magereza, traffic, wanyama pori n.k wote wapo chini yake.... Hata mjeda wa kawaida yupo juu ya wote ila kila mmoja kwenye mamlaka yake.... Ninachomaanisha ni kwamba kila baka ktk gwanda la mjeda...
  3. S

    Kanisa Katoliki na siasa za kinafiki Tanzania

    Me ni muumin bt kwa hili viongozi wangu wa kiroho wanakosea sana...... Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
  4. S

    Watanzania ni watu wa ajabu sana!, Wanamwaminije Gwajima kuliko Rais wao?

    Acha tantarira, et ooh inanyesha...... Cha msingi Bashite atoke hadharan, aitishe press km ilivyokuwa sifa zakeee... Aonyeshe vyeti vyake! Bashiteeeeeeee sisi hatutaki machozi, tunataka vyeti Machozi peleka kwenye misiba Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
  5. S

    Ushauri kwa Mange Kimambi

    We mpuuz kweli.. Eti atafute kazi huko USA? Nani kakuambia hana kazi? We tafuta kazi kama huna, wenzako maisha yashanyooka... Siku nyingine povu ukatolee hukohuko kwenye wall ya mange. Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
  6. S

    Mugabe asweka ndani mashoga hadi washike ujauzito

    Unatetea mashoga? Are you serious? Nina walakini na ww, yawezekana ww ni wale wale.... Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
  7. S

    Rais kaishiwa pumzi, karudi square one

    Serikali ya mwendo kasi,, yaaani full mkurupuko oooo
  8. S

    Yaliyojiri kwenye ukaguzi wa Polisi katika Ofisi za JamiiForums na Nyumbani kwa Mkurugenzi, Maxence

    Hii ndo serikali ya fisiem Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
  9. S

    Tuache Siasa ktk Uchumi: Wachumi tuelimisheni Dhambi ya Fixed Deposit na Faida ya Fedha Kukaa tu BoT

    Hii ndo Tanzania ya serikali ya awamu ya tano yani full mizuka plus kukurupuka #Magufuli
  10. S

    Kwanini CHADEMA inaonekana ni chama cha kikanda zaidi

    Umejuaje au ndo ushaanza ramli? Sio kila msemakweli lazima awe chadema
  11. S

    Kwanini CHADEMA inaonekana ni chama cha kikanda zaidi

    Nonsense,,, the product of narrow mind
  12. S

    Kwanini CHADEMA inaonekana ni chama cha kikanda zaidi

    Cjui unawaza kwa kuitumia nn, daaaaaaaah let me [emoji40] [emoji40]
  13. S

    Kwanini CHADEMA inaonekana ni chama cha kikanda zaidi

    Hata mpendazoe unamweka kwenye list? Ha hahaaa,, mbona hujamzungumzia Dr slaa, au akili yako imeshikishwa somewhere [emoji16] [emoji16]
  14. S

    TANZIA: Aliyekuwa Spika wa Bunge la tisa, Samwel Sitta afariki dunia

    R I P Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom