Recent content by Shinoyankela

  1. S

    Kutema mate mara kwa mara ni dalili za ujauzito?

    Hbr zenu wana jf polen na majukumu naomba msaada wenu mwenzenu tangu juz usiku natema mate mpaka imekuwa kero kwa weozangu sasa naomba mnijuze kama ni dalili za ujauzito au la!sihisi kichefuchefu ila tu mdomo ni mchachu
  2. S

    Jaman kwa anaejua tatizo hili naomba msaada

    Jamani kwa anaejua hli naomba msaada nina matatizo ya kutokwa damu nyepec na nyekundu sana uken ikisindikizwa na bonge. Tatizo hli limeanza tangu mwaka jana mwez wa tatu cku mbili baada ya kumaliza period yangu nilienda hospital wakanichoma cndano tatu za kuzuia isitoke lakin tatizo halikuisha...
  3. S

    Chakula gani mjamzito atumie ajifungue mtoto mwenye nywele nyingi?

    Jamani madokta mtujuze kuhusu hili, ni chakula au dawa mjamzito akitumia mtoto atazaliwa ana nywele nyingi
  4. S

    Ni dawa au chakula

    Jmn ni vyakula gan au dawa gan atumie mjamzito ili azae mtoto mwenye nywele nyingi?
  5. S

    Kutokwa damu uken wakat wa ujauzito

    nashukuru kwa ushaur wako ila ucjal coz ww umefanya booking mapema tumuombe mungu 2
  6. S

    Kutokwa damu uken wakat wa ujauzito

    Naomba ushaur wenu jaman mm ninaujauzito lkn ninamatatizo ya kutokwa damu uken cyo nying sana pia haitok mara kwa mara pia ujauzito wangu ni mkubwa tu na ni cku za matarajio na damu hzo zimeanza ndan ya wik hii tu je ni hali ya kawaida au ni tatizo naomba msaada wenu madactar wa jf
  7. S

    Homa ya Manjano (Homa ya Ini): Zijue athari, kinga na tiba za ugonjwa huu

    Tafuta majan ya mapera yenye manjano,majan ya mgomba ya manjano ,majan ya mkartus machanga na miziz ya migomba uchemshe unywe na uoge na pia unywe kwa wing juice ya miwa inshaallah mwenyez mungu atakusaidia utapona
  8. S

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Nzwigile nchunga 4m 4 2010 paul boman sec.school mwz
  9. S

    Chemsha bongo

    Kafofo
  10. S

    Umenipendea nini?

    Et kat yangu na hyo wa zaman unampenda nan! Ah et nalo swal nisingekuwa nakupenda tungekuwa wote?
  11. S

    Hivi ni haki mpenzi/mke wako kukusalimia shikamoo?!

    Jaman twalala wote uch kitandan hrf kesho iwe shikamoo mh!haiwezekan
  12. S

    Maliza basi nimechoka!

    Wala cyo kuridhika bal anakuwa amekereka coz wanaume wengine michosho
Back
Top Bottom