Hbr zenu wana jf polen na majukumu naomba msaada wenu mwenzenu tangu juz usiku natema mate mpaka imekuwa kero kwa weozangu sasa naomba mnijuze kama ni dalili za ujauzito au la!sihisi kichefuchefu ila tu mdomo ni mchachu
Jamani kwa anaejua hli naomba msaada nina matatizo ya kutokwa damu nyepec na nyekundu sana uken ikisindikizwa na bonge.
Tatizo hli limeanza tangu mwaka jana mwez wa tatu cku mbili baada ya kumaliza period yangu nilienda hospital wakanichoma cndano tatu za kuzuia isitoke lakin tatizo halikuisha...
Naomba ushaur wenu jaman mm ninaujauzito lkn ninamatatizo ya kutokwa damu uken cyo nying sana pia haitok mara kwa mara pia ujauzito wangu ni mkubwa tu na ni cku za matarajio na damu hzo zimeanza ndan ya wik hii tu je ni hali ya kawaida au ni tatizo naomba msaada wenu madactar wa jf
Tafuta majan ya mapera yenye manjano,majan ya mgomba ya manjano ,majan ya mkartus machanga na miziz ya migomba uchemshe unywe na uoge na pia unywe kwa wing juice ya miwa inshaallah mwenyez mungu atakusaidia utapona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.