Bado jamaangu umeachwa na wakat: wasomi ndo wanaleta ukombo mpya nyie wazeee wazaman mnaturudisha nyuma kwakauri ccm kawazaa,kawalea na kawakuza tafadhari badilika huu ndo mda
acha wewe hiyo si kweli kamwe hizo ni mbinu za ccm kwa ni mara ya kwanza police kusababisha fujo kwenye mikutano ya cdm? mbona hatujaskia ccm yanatokea au nawe walewale?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.