Rais gani kati ya hawa alitufaa zaidi

Rais gani kati ya hawa alitufaa zaidi

chingas

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2014
Posts
261
Reaction score
113
Naomba tuongee ukweli kabisa bila udini,au ukabila tuongee kama watanzania. Hivi kama kungelikuwa na uwezekano wa kuwarudisha madarakani marais wastaafu kati ya hao hapo chini ni yupi angelipata kura ya ndio na unafikiri ni kwa sababu gani?

Ally Hasani Mwinyi
Benjamin W. Mkapa
Jakaya M. Kikwete
 
naomba tuongee ukweli kabisa bila udini,au ukabila tuongee kama watanzania. ivi kama kungelikuwa na uwzekano wa kuwarudisha madarakani marais wastahafu kati ya hao apo chini ni yupi
angelipata kura ya ndio?. na unafikiri ni kwa sababu gani!

Ally hasani mwinyi
Benjamin w mkapa
Jakaya m kikwete

Hii itafutwa soon kwangu maraisi shujaa J.k Nyererer R.I.P, Shujaa GADAFI R.I.P, na Comredi Robert Mugabe Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu aendelee kukimbiza hawa makoloni mambo leo.
 
KUNA RAIS WA WASAFI ANATUFAA SANA VIJANA WA SASA diamond platinum aka dangote
 
Mkapa the best. Sema alichemsha katika issue ya uwekezaji na kufa kwa nyerere katika kipindi chake.
 
kweli J K Nyerere ndo alitufaa bt kwenye list yako hakuna kabisa

Mkuu,

Nakuhishimu mno na kuhishimu uwepo wako humu barzan, walaakin naomba nikuvunjie adabu kwa kumtia hoyo ulomdhani ati ndo msafi ilhaali umekaririshwa na ile history ya one side of Nyerere,

Kumbuka pana #The darkness side of hoyo hoyo.

Kisha nitakuhitaji utufanzie mrejezo wako baada ya kupita upande huo pia.

Baba akiwa muongo mara nyingi usitaragi mazuri kwa kizazi chake ila kwa msaada wa Mwenyezi Mungu na yule mama ya wana kama kwao kalelewa kwa maadili.
 
Mkapa the best. Sema alichemsha katika issue ya uwekezaji na kufa kwa nyerere katika kipindi chake.

Ndo mbovu tena umesahau na zile nyumba zetu walizogana kama pipi masaki , upanga,osterbey na kwineko huwa nikiwatizama nahisi kizunguzungu.
 
Mkapa the best. Sema alichemsha katika issue ya uwekezaji na kufa kwa nyerere katika kipindi chake.
Mkapa alihusikaje na kifo cha real JK Nyerere au yeye ndo alihusika katika kuinyofoa roho!!!!!! mpaka useme kuwa alichemsha?? au kwa kuwa mwl. JK Nyerere alikufa wakati yeye yupo madarakani!!! au wewe ulitaka afe wakati gani?????
 
Ni rais gani aliejenga lami kuiunganisha mikoa? ni rais gani aliesambaza umeme mpaka kijijini kwenu? ni rais gani aliesimamia ujenzi wa daraja la kigamboni ? ni rais gani aliejenga shule nyingi za sec? ni rais gani alijenga daraja la kilombero? nirais gani alie ondoa ufisadi kwenye umeme? yako mengi sana. nafikiri mnamfahamu!
 
Ni rais gani aliejenga lami kuiunganisha mikoa? ni rais gani aliesambaza umeme mpaka kijijini kwenu? ni rais gani aliesimamia ujenzi wa daraja la kigamboni ? ni rais gani aliejenga shule nyingi za sec? ni rais gani alijenga daraja la kilombero? nirais gani alie ondoa ufisadi kwenye umeme? yako mengi sana. nafikiri mnamfahamu!

Unaongea as if hizo pesa katoa mfukoni kwake..
 
Mkuu,

Nakuhishimu mno na kuhishimu uwepo wako humu barzan, walaakin naomba nikuvunjie adabu kwa kumtia hoyo ulomdhani ati ndo msafi ilhaali umekaririshwa na ile history ya one side of Nyerere,

Kumbuka pana #The darkness side of hoyo hoyo.

Kisha nitakuhitaji utufanzie mrejezo wako baada ya kupita upande huo pia.



Mkuu,

Nakuhishimu mno na kuhishimu uwepo wako humu barzan, walaakin naomba nikuvunjie adabu kwa kumtia hoyo ulomdhani ati ndo msafi ilhaali umekaririshwa na ile history ya one side of Nyerere,

Kumbuka pana #The darkness side of hoyo hoyo.

Kisha nitakuhitaji utufanzie mrejezo wako baada ya kupita upande huo pia.

Baba akiwa muongo mara nyingi usitaragi mazuri kwa kizazi chake ila kwa msaada wa Mwenyezi Mungu na yule mama ya wana kama kwao kalelewa kwa maadili.
ila kwa msaada wa Mwenyezi Mungu na yule mama ya wana kama kwao kalelewa kwa maadili.

kama ndo hivo unataka utuaminishe kua hata wakati Mwl. yupo madarakani kulikua na Ufisadi???
 
Back
Top Bottom