Ngoja nikujibu hili la stigler ndo tamu hayo mengine sina takwimu, siku nyingine jitahidi uje na takwimu za kitaalamu zinazopelekea huo mradi kufeli, jitahidi ufike pale kisaki utembetembee huku ukitafuta namna ya kuingia kule mradi ulipo halafu ufanye tathimini zako za kihandisi na kijiolojia...
wamekopa nchi gani hiyo miradi uliyotaja mkuu? kwanini usijilizishe taarifa zako ndo ushuke kiume huku ukiwa na takwimu mahususi juu ya kile unachokinadi. iseeee watanzania wa JF kweli hamjambo yaani baazi ya hoja zimekua story za asha ngedere, zimejaa umbea mwingi pasi na uhakika wa data
baada ya kujulikana hii sababu mahasimu wa JPM naona comment zao zimekua za kiungwana, ila nimepitia ule uzi ambao mleta habari kataja kukamatwa kwa ndege bila sababu kuelezea basi ulivyoungwa mkono na kutoa hukumu nyingi kwa Rais, hili jukwaa kwakweli limekosa watu wenye weledi kama enzi zile...
Hongera sana mkuu,hilo sio tatizo hata kidogo kwanza jiponeze kua na mwanadada wa karama hiyo, jikite na uwezo wake chanya wadada wa leo wengi wanamapungufu yanayosononesha mioyo ya wakaka sasa hilo la kwako kwakweli ni maakuzi yake aliyonayo. usichokonoe sana mkuu wewe mjenge pole pole maana...
Hii kauli yako ishikilie sana tena kwa mikono yote miwili isije ikakuponyoka ukaishangaa, haya mambo bora umezee tu moyoni hua sio vya kujihami kiasi hiki.
kunakuangalia na kusoma, wanavitabu pia usikomee kuangalia. enzi za form six ulikua na mambo mengi ya kishule jitahidi usome na uelewe kwasasa ambapo huna vya ziada vya kusoma kwa kusubili mtihani.
Kama ulianza 2002 na hukuona jipya basi nikuambie tu kua bado kichwa chako hakijawa tayari kujifunza.
hahahaha mkuu unatuaibisha wanaume, kasome makala za KAMASUTRA, au google hilo neno ili uanze kujifunza vyema kufanya maandalizi, pia utapata mafunzo mbali mbali ya kutumia vidole na utaona matunda yake. Acha kulalamika na jitahidi kutafuta mbinu za kivita kumshinda adui
Kwa mapokeo ya wanaume na hulka zetu ulichokifanya sio kizuri, ila ukifuata uhalisia alichofanya mumeo sio jambo la kiungwana hata kidogo.
Nakushauri jipe mda kwanza wa kujiuguza hilo jeraha la moyo wako kwa mda wa siku mbili,ikibidi ulieeeee ili machungu yote yaishe, ukitulia nakuomba utafakari...
JF bwana inakizazi ambacho kinaumaskini mkubwa wa kuchakata taarifa wanazopokea, jilizisheni kwanza taarifa husika na ukimbilie jukwaa kutoa maoni.
jambo jingine jifunzeni kidogo huko ulaya wanafanyaje kuhusu mambo hayo ya transaction? kwa dunia ya leo hupiti na hela zaidi ya dola elfu kumi air...
Sindano unaiona kwa udogo wake lakini hatua za kuitengeneza sio lelemama, hata wewe ukijipanga unaweza agiza mashine zake za kufyatua hizo shindano sio issue sana,maana mould zake zipo kutoka china unatoa tu kama unavyotoa kopi kwenye photocopy machine. pia wale wenye taaluma ya fabrication...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.