Maombi kuhusu nini??
Nina kibenten changu namalizia nacho uzeeNami nilikuuliza umri wako. Nilitaka kujua, kwa umri wako, unaweza kupata mwanaume gani ambaye hana mke? Au, unaangushwa na wanaume waliofiwa na wake zao?
Hahhahaa wengi wanaungua hapa jaribu kucheki wanavyojiteteaNaona unachomoa battery
Sawa maza houseNi wachache sana, wewe ya Wanaume tuachie wenyewe tu Dada.
KabisaHahaha, uzoefu wa kuona wengine wakifanya lakini.
kweli kabisa, yaani kama vile unanisema mmWanaume wengi waliopo kwenye ndoa wanachepuka mida ya mchana wawapo kazini
1.Wanatumia muda wa break fast
2.Muda wa lunch
3.Na baada ya kutoka job kabla ya kufika nyumbani
3.Akifika nyumbani mpoleee kama hakuna kilichotokea
WARNING :Matha House zidisha maombi juu ya hawa watu janga hili ni kubwa bila Mungu haiwezekani
Ova
Vipi kuhusu wanawake walioolewa na wameajiriwa au jiajiri? Waweza kuta mume na mke wote wanachepuka mida hiyo.Wanaume wengi waliopo kwenye ndoa wanachepuka mida ya mchana wawapo kazini
1.Wanatumia muda wa break fast
2.Muda wa lunch
3.Na baada ya kutoka job kabla ya kufika nyumbani
3.Akifika nyumbani mpoleee kama hakuna kilichotokea
WARNING :Matha House zidisha maombi juu ya hawa watu janga hili ni kubwa bila Mungu haiwezekani
Ova
Tabia ya mtu ni kama ngozi, si suala la hela wala niniLady of destiny hao wanaume wasio na michapuko hawana ela
, ukitaka kuijua tabia ya mwanaume kuwa na mausiano nae tangu akiwa masikini wa kipato mpaka muwe na kipato kizuri utaona anaanza kutoka na totozi wengine, ila nyinyi madada mnakosea .mnaibukia wanaume wenye pesa zao inakuwa ngumu kuelewa tabia zao, ushauri wangu wanawake anzisha mausiano na mwanaume akiwa hana kipato ili uijue vizuri tabia yake.
Hahahahhaa!!!!!Mwongo we kabinti. Utanijuaje kama mie mume was MTU?
Hii kauli yako ishikilie sana tena kwa mikono yote miwili isije ikakuponyoka ukaishangaa, haya mambo bora umezee tu moyoni hua sio vya kujihami kiasi hiki.Nitafanya yote ila si kutembea na mume wa mtu
Hili swali Marianah hapa chini, ikinirokea
Nafanya maombi
Marianah said:
Siyo wamama wafanyaje wababa ndiyo waache kuchepuka!
Kwani wewe ukigundua kuwa mpenzi au mke wako anachepuka utafanyaje?
Anatuombea tukioana nisiwe nachepuka.Maombi kuhusu nini??
Vipi kuhusu wanawake walioolewa na wameajiriwa au jiajiri? Waweza kuta mume na mke wote wanachepuka mida hiyo.
Anatuombea tukioana nisiwe nachepuka.
Hohohoho nacheka kijini mwanaume wa kiafrika ugundue mwanamke wako anachepuka halafu eti umuombee? Labda kama wewe siyo mwanaume wa kiafrika aise!
Niiombee familia na niombee uchumi na bado natakiwa nifanye maombi ya furushi..wanawake tuna kazi sana