Historia inafundisha mambo mawili kwa wakati mmoja. Moja matukio yenyewe. Na mbili athari za matukio hayo.
Tunapowatendea wengine vibaya, tunapowafanyia wengine uovu kwa sababu zozote zile; matendo hayo yanaacha alama isiyofutika katika ubongo wetu na katika jamii.
Na kama hakukufanyika...
Ukimwambia mtoto hiki kitakuumiza haelewi. Anataka afanye aone, aelewe.
Sio sahihi kusema "ni silika ya binadamu kujikusanyia vitu". Nafikiri ungekuwa sahihi kama ungesema: ni hulka ya binadamu kujikusanyia vitu.
Mfano huu wa mtoto/watoto na ulichokitafsiri sio ukweli. Katika umri huo, watoto wanajifunza sio silika.
Wanafanya hivyo kwa sababu wanataka kujua. Wanataka kujifunza. Watoto wanajifunza kwa kuangalia matendo ya wazazi au walezi wao au kwa kufanya matendo.
Binadamu hatuko duniani kwa sababu ya kuishi, kula na kuzaa.
Hata kama hatukubaliani kwa sababu mbalimbali hasa ujinga, "MTU YUPO DUNIANI KUSHUHUDIA UKWELI" na tunapokufa "HATUUKIMBII UKWELI, TUNAKABILIANA NA UKWELI."
Simjui Tundu zaidi ya habari zake kwenye vyombo vya habari na mitandao ya...
Wewe huelewi hata hicho unachojua kuwa unakijua.
Kwenye hilo tatizo ni la nani?
Unasema Mungu anashindwa kuwalinda watoto dhidi ya uovu? Lakini husemi uovu unafanywa na nani? Is that rational?
Mkuu mimi naandika ninachoelewa. Naelewa sayansi/saikolojia/mantiki. Naelewa imani/ukatoliki/falsafa. Najua mipaka ya sayansi/mantiki/saikolojia. Najua matatizo ya falsfa.
Unajua tatizo lako ni nini? Uelewa.
Ona ulichosema au andika mwenyewe hapa chini:-
"hapo unachanganya kutopimwa moja kwa...
Mwelekeo wako unazingatia sayansi.
Hatahivyo, ni wazi hiyo sayansi unayoizingatia bado pia hujaijua vizuri zaidi ya ushabiki.
Kwa nini? Unachanganya sayansi na imani. Unashindwa kuelewa kwamba sayansi inashughulikia swali "jinsi gani" na imani anashughulikia swali "Kwa nini."
Sayansi...
Narudia kusema tena.
Tatizo lako ni uelewa.
Mfano wa MRI.
Unachoweza kuonyesha hapo ni watu kwa maana ya umbo la binadamu. Sio akili ya binadamu.
Swali. Unaweza kunionyesha akili ya binadamu iko wapi?
Unaweza kunionyesha hizo shughuli za ubongo ambazo wewe na mimi tunaona matokeo yake...
Nataka kuwa wazi hapa. Haya sio mabishano. Ni kuelewa na kujua ukweli ambao ndio lengo la mwisho la kima mtu.
Maelezo niliotoa kwenye comment 498 yanaeleza kwa nini nimefikia hitimisho la Uwepo wa hali ya juu wenye akili (designer) tunaouita Mungu.
Sababu niloyotoa ni pamoja na "maarifa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.