Recent content by Shilings

  1. S

    JamiiForums Tanzania Moto unawaka kwa sababu kuni haijaisha. Kuni ikiisha moto unaisha. Je! Kuni kwa yenyewe ni moto!

    Moto unawaka kwa sababu kuni haijaisha. Kuni ikiisha moto unaisha. Lakini kuni kwa yenyewe si moto. Hapa ndipo hatupaswi kuchanganya maarifa ya Sayansi -"Jinsi gani", na Imani - "Kwa nini" bali kuyatumia kutafuta ukweli ambao ndio lengo letu la mwisho. Kama kitu au jambo halipimiki au...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Kutofautiana huko ndio kunafanya binadamu awe mnyama na binadamu awe mtu mwenye busara(intellect).
  3. S

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Huu ni uelewa wako. Na hii ndio inafanya tofauti kati ya wanyama (utambuzi) na mnyama mwenye busara (akili).
  4. S

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Huwezi kusema akili ya binadamu ni kama akili za viumbe wengine na hapo hapo unakiri kuwa binadamu ana uwezo wa juu sana wa akili. Yaani kwa lugha rahisi maelezo yako yanakinzana.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Imani na hapa namaanisha imani kutoka kwa Mungu ni uelewa wa kina au wa hali ya juu wa mambo na elimu ya vitu (kujua). Kwa lugha rahisi ni jinsi mambo yalivyo, ukweli. Ubongo wa binadamu ambao ndio mahali pa shughuli za kiakili unafanya kazi katika hali ya kusadiki (believe). Hii maana yake ni...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Binadamu ni sawa na viumbe vingine kwa msingi huu, wote wanatoka kwa chanzo kimoja. Lakini hadhi yao ni tofauti. Panzi ana akili ya utambuzi. Tofauti na akili ya binadamu panzi hawezi kufikiri na kufanya uchunguzi na kujua na kujua kuleta au kuunda vitu vingine vipya kwa kutumia vitu vya asili...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Maana hii ya akili inamweka mtu kundi moja na wanyama wengine which is somehow correct. Wanyama wote wana uwezo wa kupokea taarifa, kuchakata na kutoa maamuzi (utambuzi). Lakini akili ya binadamu ni nini? Akili ya binadamu maana yake ni kufikiri na kufanya uchunguzi na kujua na kujua kufanya...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Watu wote wa nyakati zote tuko chini ya sheria moja (universal laws). Kile ambacho ni kosa dhidi ya akili kinawahusu watu wote wa nyakati zote. Imani potofu huleta uelewa potofu na hivyo tamaduni na mila mbaya. Imani potofu na tamaduni mbaya sio sababu au kisingizio (excuse) cha makosa dhidi ya...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Mkuu sio sahihi kubishana. Yafaa kujiuliza na kufuatilia (kuchunguza): hapa tulipo ndio mwisho wa kila kitu? Akili ya binadamu ni halisi? Imani ni nini? Sayansi ni nini? Imani inatoka wapi na sayansi inatoka wapi? Uthibitisho maana yake ni nini? Tunajuaje? Na tunajuaje kuwa tunajua? Kwa nini...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Mfano wako wa kikombe cha babu wa Loliondo na maji ya Mwamposa ni ushahidi kuwa watu hao (watanzania wengi) hawana uelewa wa kina wa mambo na elimu ya vitu. Jambo hilo la kikombe cha babu au maji ya Mwamposa sio mambo ya imani wala hayahusiani na imani kwa sababu hayana sifa hizo. Imani sio...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Huwezi kutenganisha imani na kujua au na kuelewa. Mtu ambaye hajui, ambaye haelewi hawezi kusema ana imani na jambo hilo.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Msamaha na Kisasi

    Wajibu ni kujua na kujua kufanya jambo bila kukosea. Lazima, katika mazingira mbalimbali kujua jambo lipi bora la kufanya.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Msamaha na Kisasi

    Mtu aliyekuumiza au kujeruhi kihisia, kiakili au kimwili anaweza kufanya hivyo kwa sababu mbili. Moja kwa kujua. kwa makusudi-nia, ufundi na maarifa. Mbili kwa kutojua. Kutokuwa makini. Yote mawili hatahivyo hayakuondolei wajibu.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Watanganyika tuwe Makini: Kauli ya Nchimbi inayotututaka Wananchi kupigania katiba mpya inafikirisha sana

    Maneno ya kusema mdomoni tu pasipo matendo ni maneno kama maneno mengine. Ukweli wa mtu haumo katika maneno yake, umo katika matendo yake. Ukweli wa maneno unathibitika kwa njia ya matendo. Matendo yako wapi?
  15. S

    JamiiForums Tanzania Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

    Katika mtazamo huo, ubaya ni suala la uchaguzi sio asili. One is an entity and another is not.
Back
Top Bottom