Recent content by Shilala

  1. Shilala

    Uwakala wa pembejeo za kilimo

    Nahitaji wazalishaji/ wasambazaji wa pembejeo za kilimo mimi nina mtandao wa wakulima hususani walayani Rungwe mkoani Mbeya na maduka ya pembejeo ya kuuza bidhaa za pembejeo.Hivyo utafaidika kwa kupata mdau wa kuuza na kusambaza bidhaa zako kwa wakulima mkoani Mbeya. Tutakubaliana aina ya...
  2. Shilala

    Uwakala wa pembejeo za kilimo

    Nakaribisha washirika/ partners tufanye biashara ya kuuza pembejeo za kilimo mkoani Mbeya hususani wilayani Rungwe, nina uzoefu wa kutosha wa biashara hii na nina maduka 2 tayari. Karibu PM Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Shilala

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Mbolea za aina zote hususani za kukuzia mazao ya mahindi,parachichi na viazi mviringo. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Shilala

    Wakala wa pembejeo za kilimo

    Natafuta Kampuni au taasisi inayozalisha o kusambaza pembejeo mbalimbali za kilimo ili niwe wakala wao wa bidhaa zao kwa mkoa wa Mbeya. Nina uzoefu wa kutosha wa kuendesha biashara huyo na nina maduka mawili makubwa. Tuwasiliane pm. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Shilala

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Natafuta wazalishaji wa pembejeo za kilimo like mbolea tuwasiliane nahitaji niwe wakala wao Mbeya. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Shilala

    Najikuta nina stress kupindukia

    Never loose hope always! Anza upya kumbuka mazuri uliyofanya jipange upya ,soma vitabu ,endelea kutafuta fursa,fanya mambo yanayokupa furaha na usikumbuke machungu o kutafuta wa kulaume. Have free mind dude. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Shilala

    Jinsi ya Kusajili Kampuni ya Ujenzi (Building and Civil Contractor)

    Wadau kwa usajili wa biashara ya plumbing na usafi taratibu zikoje esp kwa CRB? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom