Shilala
Member
- Apr 28, 2019
- 9
- 16
Nakaribisha washirika/ partners tufanye biashara ya kuuza pembejeo za kilimo mkoani Mbeya hususani wilayani Rungwe, nina uzoefu wa kutosha wa biashara hii na nina maduka 2 tayari.
Karibu PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu PM
Sent using Jamii Forums mobile app