Shilala
Member
- Apr 28, 2019
- 9
- 16
Natafuta Kampuni au taasisi inayozalisha o kusambaza pembejeo mbalimbali za kilimo ili niwe wakala wao wa bidhaa zao kwa mkoa wa Mbeya. Nina uzoefu wa kutosha wa kuendesha biashara huyo na nina maduka mawili makubwa.
Tuwasiliane pm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwasiliane pm.
Sent using Jamii Forums mobile app