Unakuta mtu anakuonyesha mikeka yake ya jana ameshinda 2M, leo ana odds 200 ni fixed anashawish watu wanunue lakin yeye mkeka huohuo anastake elfu 20, na jana yake ameshinda 2M, kwann asiweke angalau 500K apate 100M.... hesabu ndogo km hiyo
Hapo jibu ni moja kukua kwa uchumi, viwanda vingi vinaongezeka na kila siku vinazalisha unategemea mnunuzi awe mmoja?, hapana kwahyo na maduka lazima yaongezeke kwakuwa upatikanaji wa bidhaa ni rahisi na pia sababu nyingine kuwepo na njia rahis ya usafirishaji au uagizaji wa bidhaa kutoka nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.