pdozen_nation
Member
- Nov 12, 2015
- 52
- 122
hivi kunakiwanda ambacho akina kazi ngumu raisi ? kama kipo kitaje na malipo yao yakoje watu wanatafuta
Anataka kazi kama za ufaransa kulala tu kitandani unalipwa 😂Kazi ngumu rais/rahisi ndo zikoje?
NB:Ndo maana wa Dar tunadharaulika
Hiv wale unajuwa siwaelewi hivi mtu unalala tu unalipwa?Anataka kazi kama za ufaransa kulala tu kitandani unalipwa 😂
Unakuta wapo kwenye research zao kupima uzuri wa magodoro yao nadhaniHiv wale unajuwa siwaelewi hivi mtu unalala tu unalipwa?