naomba nichangie kidogo upande wa taasisi za fedha ni kuwa kwakuwa taasisi imesajiriwa ndani ya nchi husika basi pamoja na sera ya kampuni pia itatekeleza sheria za nchi,mfano kwa Tanzania mhusika anapofariki pesa yake kama ipo benki haiwezi kugawiwa kiholela kwani lazima taratibu za mirathi...
ni kweli wana changamoto hiyo lakini najua ni upande wa kutamka ila sio ktk kuandika,hata baadhi ya maeneo kuna watu wanapuuza kutanguliza herufi H ila inabakia ktk utamshi tu na si ktk maandishi
HUSTLER
Laura kwanza niseme nakushukuru sana kwa ukurasa wako haswa hii part ya hustler inaleta exposure watu tunapona kimya kimya kwa maana siku niliyokufollow sikulala ni kama nilikesha natafuta hizi parts nasoma mpaka nikajikuta najiahidi kujileta kwako
Kitu niligundua tangu nikufatilie ni...
Hii stori aliyeifungulia uzi humu sio yake na ndio maana hakuimaliza,stori yote iko kwa laura Petty kule fb kuna mdau ndio aliitoa na ameimaliza yote mnaweza kuifatilia kule au ntaiweka humu na kumpa credit zake mhusika wa hadithi ambaye ni Laura
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.