Recent content by shikamkono01

  1. shikamkono01

    JamiiForums inafahamuje ikitokea mwanajukwaa amefariki na kumuwekea RIP?

    naomba nichangie kidogo upande wa taasisi za fedha ni kuwa kwakuwa taasisi imesajiriwa ndani ya nchi husika basi pamoja na sera ya kampuni pia itatekeleza sheria za nchi,mfano kwa Tanzania mhusika anapofariki pesa yake kama ipo benki haiwezi kugawiwa kiholela kwani lazima taratibu za mirathi...
  2. shikamkono01

    Huu ni mwandiko wa Mbunge wa bunge la Tanzania!

    ni kweli wana changamoto hiyo lakini najua ni upande wa kutamka ila sio ktk kuandika,hata baadhi ya maeneo kuna watu wanapuuza kutanguliza herufi H ila inabakia ktk utamshi tu na si ktk maandishi
  3. shikamkono01

    Nini maana ya maisha?

    haya LAND Anikajema chizcom Omukisa Chica Gee Aiylan wasalan Numbisa Aaliyyah strongest mkuje huku
  4. shikamkono01

    Nini maana ya maisha?

    HUSTLER Laura kwanza niseme nakushukuru sana kwa ukurasa wako haswa hii part ya hustler inaleta exposure watu tunapona kimya kimya kwa maana siku niliyokufollow sikulala ni kama nilikesha natafuta hizi parts nasoma mpaka nikajikuta najiahidi kujileta kwako Kitu niligundua tangu nikufatilie ni...
  5. shikamkono01

    Nini maana ya maisha?

    Hii stori aliyeifungulia uzi humu sio yake na ndio maana hakuimaliza,stori yote iko kwa laura Petty kule fb kuna mdau ndio aliitoa na ameimaliza yote mnaweza kuifatilia kule au ntaiweka humu na kumpa credit zake mhusika wa hadithi ambaye ni Laura
  6. shikamkono01

    Nahitaji mwanangu aende kuitikisa Talent Show tutayohudhuria wazazi, Aimbe wimbo gani wa kiingereza Hiphop usio na matusi tuanze mazoezi ?

    wewe sasa ndio umetoa ushauri,ule kama akifanikiwa kuweza kuuimba atakuwa amefunika bovu!
Back
Top Bottom