Ndio maana bakharesa anachukua mchanga wa baharini na kupeleka fumba, wakati maeneo hayo ya mtoni marien hadi mtoni branch likiathirika kwa maji ya bahari kuwa na kasi kubwa kutoka na project ya Hotel ya mtoni marien.
Wananchi wanajaribu kuchukua hatua za kisheria, kupeleka barua wizara inayo...
Mkuu
Hivi sasa marais wa Afrika wamejiweka miaka 15-80 madarakani, hawataki kuondoka na kubadilisha katiba zao ili waendelee kutawala, Jee huko mbele si watatiwekea ufalme kwa maana hakuna Kitakacho msumbua
Nadhani hilo la kuweka au kuunda mfumo wa ukomo wa urais na kuipa mbele demokrasia lingeundwa kwanza na kusimamia kwa bara hili la Afrika kwanza, tukaona matokeo yake ndio Tuje kwenye hili la icc.
Hawa jamaa hawataki uwadilifu especially katika mataifa yao, wanasingizia Amerika haitaki kuingia...
Unafurahia, hapo ndipo viongozi wa Afrika watakapo jipa ufalme. Na umaskini utakapo kithiri, angalia Zimbabwe.
Mukishajitoa pia mukubaliane kuwa Hamtaki tena mikopo kutoka imf na misaada kutoka Ulaya
Na angalia Chanel 10 hapa naona majadiliano baina ya polisi na boda boda, hoja ni usalama wa barabarani baina ya madereva wa boda boda naabiria wao kuvaa helmet ⛑.
Police wanataka boda boda wasipakie abiria akiwa hana helmet ⛑, madereva wanasema kuwa wao wanavaa abiria hataki sasa, kosa ni la...
Waachieni viongozi wa dini (Uamsho). Miaka 3 uchunguzi haujakamilika?
Hamtaki kutoa dhamana, wala jamaa zao kuwaona. Mnataka tuamini Tanganyika inaitawala Zanzibar kuua Uislamu na kuwachukulia rasilimali zao?
Ushauri wangu kwanza usije mwambia information vipi umezipata.
Kwa sababu Utakuja kushindwa baadaye kufanya uspy wako.
La pili muite mkeo kaa nae faragha, Muulize huyo mtu ni nani na imekuwaje wakawa na uhusiano,mkatie live hayo maneno, halafu siku ambayo itakayo mwambia, mfanyie surprised...
Uwongo wa kutosha, talaka mwisho 3 time ndio huwezi kumrudia hadi atakapo olewa na kuachwa na mtu mwengine ndipo huyo x aweze kuposa upya mahari mapya, kama una Dreams za kupata muarabu utaota sana, labda uwoe mrangi
Mutakubaliana na mimi.
1. Wananchi hawawezi kuhoji serikali
2. Vyama vya siasa kufungiwa mikutano.
3. Uhuru wa habari hakuna
4. Maamuzi ya wananchi haya heshimiwi.
5. Hata ukitaka passport ili uwende unapotaka taka lazima utoe vielelezo vya kutosha.
6. Hatuwezi kuandamana.
Tanganyika...
Unaposema upo imara wewe na bwana yule, upo imara kivipi?
Wakati wananchi hawautaki huu muungano au mfumo wa muungano.
Ni sawa kusema mwanao anaenda shule, wakati shule wenyewe hafiki, jee huku kwa wananchi hali ipo vipi ?
Kumekuwa na mijadala mingi juu ya suala la huu muungano, kwa upande wa zanzibar wananchi wamechoshwa na muungano mpaka pale walipofikia kuchukua hatua za kufungua case katika mahakama ya East Africa community.
Pia tukiangalia viongozi wanzibar hasa wale waliopo madarakani wakisema muungano...
USA kwa vita vya anga ni hatari, kwa vita vya sakafuni hakuna kitu, jiulize kilicho mshinda USA mwaka 1990 kumuondoa sadam hussein Iraq ni nini?
USA hamna kitu, tukija Russia katika vita bado hamjamtambua toka kumalizika kwa vita vya 2 vya dunia, kwa sasa Russian amekunjua mikono yake Syria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.