Mahakama zisitumike kisiasa

shickland

Senior Member
Dec 7, 2015
143
123
Waachieni viongozi wa dini (Uamsho). Miaka 3 uchunguzi haujakamilika?

Hamtaki kutoa dhamana, wala jamaa zao kuwaona. Mnataka tuamini Tanganyika inaitawala Zanzibar kuua Uislamu na kuwachukulia rasilimali zao?
 
Maamuzi kwa sasa Tanganyika Ikulu Hatuna Uhuru wa Mahakama.Yellow stickers zinafanya kazi poleni mnayeamini Mahakama. Yangu zamani sikuwahi kuamini Mahakama. Rushwa ni kubwa mno kweli kabisa sijawahi amino Mahakama
 
Eti "mahakama zisitumike kisiasa"? Ili ccm idumuje madarakani? Ili upinzani uisumbue serikali?

Hasha! Mahakama lazima itumike kwa masilahi ya dola. Vyombo vya ulinzi na usalama pia ndo "team dola".

Bila katiba mpya na tume huru tusitegemee mapya!
 
Mahakama Inafanya Vizuri Tu Mpaka Sahv Imefashafunga Mafisadi Wengi Sna Yule Bunge Wakilombero Yule Diwani Wa Musoma,mwenyekiti Wa Cdm Mtwara Na Wengne Inawashikilia Akina Lema Gerezani,soon Tutakuwa Na Tanzania Ya Viwanda Na Ajira Na Neema Teletele
 
Tatizo ni sisi wananchi watanzania kuwa mazuzu,hivi kweli tunashindwa kuandamana kukataa uovu kama huu wa kuwaweka watu gerezani wakati mshitaki hana ushahidi,tuamka tukatae udikteta na uvunjwaji katiba tuandamane maandamano yasiyo na kikomo..
 
Back
Top Bottom