Nachojua elimu nchi tz inapuzwa,inakejeriwa ikuluni,magengeni,sokoni,bungeni,vyuoni na hata kwenye vikao vya vyama.wizara nyeti kama elimu huwezi kumkabidhi mtu dhaifu na legelege na asie makini km.kawambwa ukategemea elimu bora.brn nichanzo cha mafungu ya madeo na maofisa elimu.walimu njaa...
Watz kwan hatuifahamu ccm? Mkwele aliahidi yaliyomo kwenye ilani ya ccm.kosa n kuiluhsu ccm kuwa madaraka km watz wangeinyma kura kikwete angekuwa kijiweni nacc 2ngekuwa 2nakula bata.mwakani tsiangshane kznyma kura ahadi za uongo
mkiwa wakame bila vyeo mnakuwa na kelele mkiwa madarakani mnakuwa wakimya na wapole.hama chama cha intalahamwe ccm kama unautaka ubunge.shida yake mama g. ni ubunge
Mungu amtie nguvu,baraka,hekima na hata kuendelea kumpa kwa kumuongeza weledi jaji warioba.hakika utaendelea kuheshimika ktk nchi hii ya tanganyika.bakiwa kutukuzwa,kusifiwa,kuheshimiwa na hata kuenziwa kupitia msimamo wako juu ya kuipenda nchi hii ya tanganyika.uzalendo wako hakika una htajika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.