Msimamo wangu wa kugombea 2015 uko palepale kwa chama changu

Msimamo wangu wa kugombea 2015 uko palepale kwa chama changu

mandago shululu

Senior Member
Joined
Mar 24, 2013
Posts
125
Reaction score
37
Kama nilivyotangaza kwenye vyombo vya habari mwaka jana kwamba,nia yangu ya kugombe ubunge jimbo la kwimba uko palepale wala hakuna wa kunibadilisha mawazo yangu.Chadema bado ni chama imala sana wala hakuna wa kutubabaisha na kinaelekea kwenye ukombozi wa Taifa letu la Tanzania.

*Mandago 2015 kwimba*
 
Kila la kheri mkuu,tunakuombea mafanikio ktk lengo lako
 
Sasa pitia kata zote, ukatathmini gharama za kampeni na mazingira ya kisiasa.
 
nakutakia kila lakheri mwanaphilosophy mwenzangu
 
Kama nilivyotangaza kwenye vyombo vya habari mwaka jana kwamba,nia yangu ya kugombe ubunge jimbo la kwimba uko palepale wala hakuna wa kunibadilisha mawazo yangu.Chadema bado ni chama imala sana wala hakuna wa kutubabaisha na kinaelekea kwenye ukombozi wa Taifa letu la Tanzania.

*Mandago 2015 kwimba*



Jitokeze tukujue mbona unatumia id fake?.
 
ubunge utausikia redioni tu.. ACT tunalichukua jimbo la kwimba
 
Kama nilivyotangaza kwenye vyombo vya habari mwaka jana kwamba,nia yangu ya kugombe ubunge jimbo la kwimba uko palepale wala hakuna wa kunibadilisha mawazo yangu.Chadema bado ni chama imala sana wala hakuna wa kutubabaisha na kinaelekea kwenye ukombozi wa Taifa letu la Tanzania.

*Mandago 2015 kwimba*
Wizaga kugudija angu!
 
Kamanda ninakutakia kila la kheri.na mimi na jipanga jimbo la ileje cdm 2o15
 
Jitokeze tukujue mbona unatumia id fake?.

ID, haitakusaidia chochote, show low kwa ukasili na ushujaa wa mahkaji miongoni mwa wachache waliothubitu. Pia Kama na wewe una nia you are free to do so, Democrasia inaruhusu ushindani
 
Kila la heri, me pia mpaka niling'oe jimbo la mpwapwa kupitia CDM, namalizia degree yang ya siasa hapa UDSM
 
Kila la heri Kamanda, me pia mpaka niling'oe jimbo la mpwapwa 2015 kupitia CDM, namalizia degree yang ya siasa hapa UDSM
 
Ww unataka gombeya uku unaficha jina lako. Toka tukutasmini. Au ujiyamini nn
 
Back
Top Bottom