Mkuu Mitatu yote iyoo , Me nililiamsha dude baada ya miezi 2 tuu na mpaka sasa hakuna nouuma wala nini ..hapo inakupunguzia kumletea mtoto manuksi ya michepuko coz unashiliki na mama ake , kiimani na kiafya sio nzuli sana kushiliki nje then unarudi home na kuwashika mtoto na mama ake na mda huo...
me nakushauli fanya biashara ya vitu vya kike ndio vinatoka sana ..cha muhim ni pata location nzuli ambapo kuna watu wengi na pia deal na bidhaa za watu wa hali ya kawaida then ukikua unaweza chagua wewe mwenyewe zaidi , ila bidhaa za kiume kausha kwanza mana apaa nina aproach mwaka kasoro na...
mkuu shukrani sana kwa msaada huu ..na nina maswali kidogo ;
a) Hii issue sio kwamba inatokana pia na huko hospital mda ambao mtoto amezaliwa sasa yule anaemkata na kufunga kitovu labda anakua hajakifunga au kukikata katika kipimo kinachotakiwa ..maana Bibi zake na ndugu wengine wanadai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.